#COVID19 Covid-19 itatumaliza, Wizara ya Afya imekaa kimya kama vile haipo

#COVID19 Covid-19 itatumaliza, Wizara ya Afya imekaa kimya kama vile haipo

Mars 12

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2021
Posts
221
Reaction score
349
Ugonjwa wa covid 19 au uviko unaenea kwa kasi nchini.wizara ya afya utadhani haipo.hakuna jitihada zozote zinazofanywa na wizara hii kuhamasisha wananchi kujikinga na huu ugonjwa wa corona covid-19.

Tayari leo Simba Sports club ishapoteza mmoja wa viongozi mashuhuri ambaye siku chache alihojiwa na kusema wazi anaugua covid 19. Sasa mtu kama huyu maarufu keshachanyikana na watu wangapi? Kaambukiza wangapi? Jamani tunalichukulia kimzaha suala la huu ugonjwa wa covid 19, itafika siku tutakuwa hatuna budi kukaa nyumbani maana hata makazini hakutakalika.

Kuna tabu au tatizo lipi kwa wizara bila kujali lawama,shutuma n.k kupiga marufuku mikusanyiko yote iwe ya mipira hasa simba na yanga, mikutano ya kiinjili, mihadhara ya kiislamu, matangazo ya kibiashara, upigaji muziki unaokusanya watu, mikutano ya hadhara ya vyama n.kNYIE WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII INABIDI MCHUKUE UAMUZI MGUMU.
 
Serikali imeleta chanjo watu hawataki hata kuchanja, bado mnalaumu serikali. Leo hii kumbi za starehe na mikusanyiko ikipigwa marufuku kuna watu watakuja kulia hapa kwa kukosa ajira. Fikiria kwa mfano unasitisha shuhuli za masoko kama Kariakoo ilikuepuka msongamano. Cha msingi sisi watanzania tufuate ushauri wa kitaalamu tuachane na wapitoshaji.
 
Ugonjwa wa covid 19 au uviko unaenea kwa kasi nchini.wizara ya afya utadhani haipo.hakuna jitihada zozote zinazofanywa na wizara hii kuhamasisha wananchi kujikinga na huu ugonjwa wa corona covid-19.

Tayari leo Simba Sports club ishapoteza mmoja wa viongozi mashuhuri ambaye siku chache alihojiwa na kusema wazi anaugua covid 19. Sasa mtu kama huyu maarufu keshachanyikana na watu wangapi? Kaambukiza wangapi? Jamani tunalichukulia kimzaha suala la huu ugonjwa wa covid 19, itafika siku tutakuwa hatuna budi kukaa nyumbani maana hata makazini hakutakalika.

Kuna tabu au tatizo lipi kwa wizara bila kujali lawama,shutuma n.k kupiga marufuku mikusanyiko yote iwe ya mipira hasa simba na yanga, mikutano ya kiinjili, mihadhara ya kiislamu, matangazo ya kibiashara, upigaji muziki unaokusanya watu, mikutano ya hadhara ya vyama n.kNYIE WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII INABIDI MCHUKUE UAMUZI MGUMU.

Mmeambiwa mkachanje, hamtaki mnasikiliza Gwajiboy! Barakoa mnabisha kuzivaa, kwenye mikusanyiko mkiambiwa msiende mnabisha! Unataka wizara ikushikie panga? Kwa hili swala kwa kweli wizara imejitahidi kufanya kila iwezalo, binafsi siwezi kuilaumu!

Watz ni wabishi mno, Mtz akisikia mlio wa risasi anafuata akaone kimetokea nini...
 
Kama chanjo ipo na hamtaki kuchanja,Serikali ikuchanje kwa nguvu?

Barakoa pia hamtaki kuvaa,kila mtu ni mjuaji wa masuala yote,ili mradi awe na Smart phone na bando tu,

Ujinga umetamalaki kwa kujiaminisha kua huo ndio ujuaji! Endeleeni kumsikiliza Kibwetere tu.
 
Ugonjwa wa covid 19 au uviko unaenea kwa kasi nchini.wizara ya afya utadhani haipo.hakuna jitihada zozote zinazofanywa na wizara hii kuhamasisha wananchi kujikinga na huu ugonjwa wa corona covid-19.

Tayari leo Simba Sports club ishapoteza mmoja wa viongozi mashuhuri ambaye siku chache alihojiwa na kusema wazi anaugua covid 19. Sasa mtu kama huyu maarufu keshachanyikana na watu wangapi? Kaambukiza wangapi? Jamani tunalichukulia kimzaha suala la huu ugonjwa wa covid 19, itafika siku tutakuwa hatuna budi kukaa nyumbani maana hata makazini hakutakalika.

Kuna tabu au tatizo lipi kwa wizara bila kujali lawama,shutuma n.k kupiga marufuku mikusanyiko yote iwe ya mipira hasa simba na yanga, mikutano ya kiinjili, mihadhara ya kiislamu, matangazo ya kibiashara, upigaji muziki unaokusanya watu, mikutano ya hadhara ya vyama n.kNYIE WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII INABIDI MCHUKUE UAMUZI MGUMU.
Kufeni kabisa huo ukoo wenu wote na corona .kenge nyinyi
 
Kama chanjo ipo na hamtaki kuchanja,Serikali ikuchanje kwa nguvu?

Barakoa pia hamtaki kuvaa,kila mtu ni mjuaji wa masuala yote,ili mradi awe na Smart phone na bando tu,

Ujinga umetamalaki kwa kujiaminisha kua huo ndio ujuaji! Endeleeni kumsikiliza Kibwetere tu.
Inasemekana huyo Zakaria alikuwa amechanja tayari

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Lile kusanyiko la mechi ya watani Kigoma ilikuwa ndiyo epicenter ya uviko 19..

Kesho tena uwanja wa mama j mnakusanyana..

Mtajua hamjui..

Tuchanje.
 
Lile kusanyiko la mechi ya watani Kigoma ilikuwa ndiyo epicenter ya uviko 19..

Kesho tena uwanja wa mama j mnakusanyana..

Mtajua hamjui..

Tuchanje.
Mkuu hii ni kweli kbsa ,
Wengi walibeba pale,
Hata mchambuzi wetu mashuhuri baada kurudi kule ndio alianza kujiskia vibaya,kuumwa hadi mauti kumkuta
 
Wizara ituambie imekuaje Hans amefariki kwa covid wakati alikua amechanjwa?

Maana wanatuambia chanjo inazuia vifo, maumivu, kulazwa hospitali ama kuwekewa mashine ya kupumua, sasa ilikuaje Hans akawekwwa mashine na akafariki huku amechanjwa?
 
Back
Top Bottom