Mbona wanaochanjwa ndio wanakufa sasa?Mkuu serikali ikupe nini zaidi ya chanjo usalama wa afya uko mikonon mwako amua ww kwenda uwanjan,mikutano,daladala au kaa nyumbn yote ni juu ya mwenye afya
Hamad alikuwa chini sio?MPaka impasue mtu kule juu
Askofu gwajiboy aishaipasuapasuaUgonjwa wa covid 19 au uviko unaenea kwa kasi nchini.wizara ya afya utadhani haipo.hakuna jitihada zozote zinazofanywa na wizara hii kuhamasisha wananchi kujikinga na huu ugonjwa wa corona covid-19.
Tayari leo Simba Sports club ishapoteza mmoja wa viongozi mashuhuri ambaye siku chache alihojiwa na kusema wazi anaugua covid 19. Sasa mtu kama huyu maarufu keshachanyikana na watu wangapi? Kaambukiza wangapi? Jamani tunalichukulia kimzaha suala la huu ugonjwa wa covid 19, itafika siku tutakuwa hatuna budi kukaa nyumbani maana hata makazini hakutakalika.
Kuna tabu au tatizo lipi kwa wizara bila kujali lawama,shutuma n.k kupiga marufuku mikusanyiko yote iwe ya mipira hasa simba na yanga, mikutano ya kiinjili, mihadhara ya kiislamu, matangazo ya kibiashara, upigaji muziki unaokusanya watu, mikutano ya hadhara ya vyama n.kNYIE WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII INABIDI MCHUKUE UAMUZI MGUMU.
Hanspope alikuwa hajachanja?Lile kusanyiko la mechi ya watani Kigoma ilikuwa ndiyo epicenter ya uviko 19..
Kesho tena uwanja wa mama j mnakusanyana..
Mtajua hamjui..
Tuchanje.
TanzaniaAliipata wapi hiyo chanjo ?
Muda mwingine madalali wa chanjo huwa wanatumia ‘niche targeting’ ili kupata ‘free publicity’Mkuu hii ni kweli kbsa ,
Wengi walibeba pale,
Hata mchambuzi wetu mashuhuri baada kurudi kule ndio alianza kujiskia vibaya,kuumwa hadi mauti kumkuta
Hata isingesema, mwisho wa serikali upo nje ya mwili wangu, kunipa vitu nisivyotaka hakuna wa kunilazimisha kuingiza takataka na kemikali chini ya ngozi yangu, nasema Big No!Kosa la serikali ni kusema chanjo ni hiari
Hivi huyo Mungu anaonekana, anasikika, yupoje, anaishi wapi, au kwa vile ameandikwa kwenye vitabu vya dini?Yaan tuache kumuabudu Mungu kisa uhuni wa kuitwa corona? Tubu na kututaka radhi.
Mkuu hata mimi tu sichanjwi, so ni mpumbavu?Upumbavu hauna mipaka kwani weww unadhani ulaya hakuna wajinga?
Nashangaa!! Tunalazimishana kwenye makanuni ya corona, mimi huwa nashangaa sana mtu anaponiambia vaa barakoa, na nyoko nyoko nyingine za Uviko...kama mtu una hofu na kifo jipige lockdown mwenyewe, tusipangiane, kila mtu ana maamuzi na maisha yake, hata nikitaka kujiua sasa hivi natafuta sumu ya panya nakunywa nakufa, maisha ni yangu niachwe hivi hiviUnaonaje ukakaa tu lockdown mwenyewe ndani ya nyumba yako? Au unataka wizara ije ikulazimishe?
😂 😂 😂Dorothy na Moleli wameshapigwa mapigo ya moto na Askofu Gwajima hawajui waseme nini, Rais yupo busy na royal tour🤣
Hoja zake mlishazijibu?Watanzania niwapumbavu utamkuta mtu kamaliza chuokikuu anadanganywa na gwajima boy darasa lasita yuletapeli mjingamkubwa
Wewe ni mjinga.kuna tofauti ya ujinga na upumbavuMkuu hata mimi tu sichanjwi, so ni mpumbavu?
Leta ushahidiTanzania
Hivi huyo Mungu anaonekana, anasikika, yupoje, anaishi wapi, au kwa vile ameandikwa kwenye vitabu vya dini?
Sasa we uliyechanjwa na mimi tunatofaut gani?Wewe ni mjinga.kuna tofauti ya ujinga na upumbavu