COVID-19: Jinsi ya kutumia Simu yenye Password ili kumsaidia Mgonjwa ambaye simu yake ina Password

COVID-19: Jinsi ya kutumia Simu yenye Password ili kumsaidia Mgonjwa ambaye simu yake ina Password

YEHODAYA hii hapa nimeshaiposti njoo usome na uwashirikishe na wengine. Usije na siasa
Nimeiona hiyo unaongelea matajiri wenye smartphone za Samsung smart phone zingine hazina hizo.options.

Watu wengine ambao ndio kundi kubwa ambao hawana smartphone hizo za Samsung au iPhone na Simu kali zenye android 9 ambao huziweka password watasaidikaje wakati hizo options hazipo?

.Tusaidie mwenye Nokia torch yenye password au simu ya smartphone ambayo haina hizo facility ikiwa na password unafanyaje?
 
Nimeiona hiyo unaongelea matajiri wenye smartphone za Samsung smart phone zingine hazina hizo.options.

Watu wengine ambao ndio kundi ni kubwa ambao hawana smartphone hizo za Samsung au iPhone na Simu kali zenye android 9 ambao huziweka password watadaidikaje wakati hizo options hazipo? .Tusaidie mwenye Nokia torch yenye password au simu ya smartphone ambayo haina hizo facility ikiwa na password unafanyaje?
Mpwa umeanza kuletà upinzani hadi huku? Ukisoma paragraph ya mwisho nimesema kuwa, mimi najua hicho na nikakaribisha mwingine au wengine waongezee, sijui vyote ila kile ninachojua ndio nimeshea nanyi.

Hata hivyo ni simu nyingi sana I think hata hizo Nokia zina option Fulani. Sio kesi, sio lazima imsaidie kila MTU.
 
Mpwa umeanza kuletà upinzani hadi huku? Ukisoma paragraph ya mwisho nimesema kuwa, mimi najua hicho na nikakaribisha mwingine au wengine waongezee, sijui vyote ila kile ninachojua ndio nimeshea nanyi.

Hata hivyo ni simu nyingi sana I think hata hizo Nokia zina option Fulani. Sio kesi, sio lazima imsaidie kila MTU.
Ulichoandika umekua too general as if kila simu ina hizo options

kwenye heading ungeandika kuwa ni solution kwa baadhi ya simu u ka quote ya kwako lakini umeandika as if simu zote zina hiyo facility na kila MTU huweka hizo emergency numbers hata ikiwa na hizo facility
 
Ulichoandika umekua too general as if kila simu ina options kwenye heading ungeandika kuwa no solution kwa baadhi ya simu u ka quote ya kwako lakini umeandika as if simu zote zina hiyo facility
Hahahahha haya tufanye umeshinda! Kwahio interest yako ilikua kwenye Heading sio Content? Unayoyasema nimeyaandika ila kwasababu ya ubishi na kupenda kujikweza basi nakubali kuwa nimeshindwa!
 
Android 9 ya wapi. mimi nna samsung grand prime pro ambayo saiv naitumia kama router. Mtaani ukiwa hata na 120k unapata. Na ina hicho kitu. Na ina adroid 7 tu.
Nimeiona hiyo unaongelea matajiri wenye smartphone za Samsung smart phone zingine hazina hizo.options.

Watu wengine ambao ndio kundi kubwa ambao hawana smartphone hizo za Samsung au iPhone na Simu kali zenye android 9 ambao huziweka password watasaidikaje wakati hizo options hazipo?

.Tusaidie mwenye Nokia torch yenye password au simu ya smartphone ambayo haina hizo facility ikiwa na password unafanyaje?
 
Android 9 ya wapi. mimi nna samsung grand prime pro ambayo saiv naitumia kama router. Mtaani ukiwa hata na 120k unapata. Na ina hicho kitu. Na ina adroid 7 tu.
Achana nae huyu, hii ndio nature yake
 
Android 9 ya wapi. mimi nna samsung grand prime pro ambayo saiv naitumia kama router. Mtaani ukiwa hata na 120k unapata. Na ina hicho kitu. Na ina adroid 7 tu.
Nimreleza kuwa Samsung ndio INA hizo features sio simu zote zinazo na sio.kila MTU ana Samsung
 
Nimreleza kuwa Samsung ndio INA hizo features sio simu zote zinazo na sio.kila MTU ana Samsung
Duh sio kweli acha uongo, kama hujui kubali kuwa hujui kisha kubali kujifunza, si dhambi! Mbona nimesema kuwa hata mimi sijui kila kitu kwahio kama kuna MTU mwenye taarifa zaidi alete tujifunze kwa pamoja.

Samsung pia inazo hizo features ila hii ninayotumia ni mchina tena wa bei ndogo kabisa inaitwa Infinix S4 dukani haifiki hata laki nne kwa sasa. Tukubali kujifunza si aibu
 
Kwa kuwasaidia wale ambao wanamiliki simu zisizokuwa na hizo "features"

Mnaweza Ku download "emergency information" ni application ambayo itaweka emergency information zako muda wote kwenye lock screen.

MTU hatohitaji kutoa lock ili kupata hizo taarifa ataziona juu tu hapo ya lock screen

Note: kwa watu wa android sijui kwa "os " kama app ya hivo IPO butvi believe zitakuwepo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kuwasaidia wale ambao wanamiliki simu zisizokuwa na hizo "features"

Mnaweza Ku download "emergency information" ni application ambayo itaweka emergency information zako muda wote kwenye lock screen.

MTU hatohitaji kutoa lock ili kupata hizo taarifa ataziona juu tu hapo ya lock screen

Note: kwa watu wa android sijui kwa "os " kama app ya hivo IPO butvi believe zitakuwepo

Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani sana sana
 
  • Thanks
Reactions: Tlg
Wanaotumia simu zisizo rasmi kama Tecno,itel &infinix utakuja kuleta malalamiko yao hapa


Sent using IPhone X
 
Natumia Mi Note 5 kwenye locked screen sizioni hizi options ngoja niingie kwenye system labda kuna kitu kinatakiwa nikiruhusu ili ikubali.

All in all nakushukuru sana mkuu kwa msaada huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu, Poleni kwa kuwapoteza Wapendwa wenu kwa namna moja ama. Kuna nyakati inabidi kuna mambo tukumbushane au tufundishane, si dhambi. Kwa kipindi hiki cha Corona kuna wenzetu wanaweza kuzidiwa ghafla na tukahindwa kumsaidia kwakuwa hatuawafahamu ndugu zao na kwakua simu zao zina Passwords. Nawexza kusema sio kwa Corona tu bali hata kwenye ajali au dharura nyingine yoyote. Twende pamoja na nakusihi, ukijifunza kitu hapa basi mshirikishe na mwenzio.
View attachment 1434818
Picha hii ya kwanza ni jinsi Screen yangu ya simu ambayo ni smartphone inavyonekana, Naamini kuwa simu nyingi zitakua zina display namna hio kama simu hio itakua na password. Kama huna Passoword ya Mhusika hutaweza kuendelea zaidi ya hapo, sasa nini kifanyike? Fanya hivi, Click hilo neno EMERGENCY, ukili click litakueletea picha hii ifuatayo
View attachment 1434823
2. Kwenye Screenshot hii baada ya kugonga neno EMERGENCY itakuja kitu kama hicho hapo, sasa hapo ukipafungua patakuletea Screen nyingine ambayo itakua na taariza za mhusika wakati wa dharura, labda hapa niseme kwamba ukinunua simu yake au hata sasa kama hujafanya hivyo, unatakiwa na ni muhimu ukaingiza hapo taarifa zako rasmoi ambazo zinaweza kutumika wakati wa dharura kama screen inayofuata inavyoonyesha.

View attachment 1434838
Screen hiii zitakua na sehemu mbili, za zote nitaziweka kwenye screenshot yake kila moja, ya kwanza, inaonyesha INFO taarifa zako za kiafaya, kama una aleji, group la damu, wapi unapatikana, n.k, ni vyema kujaza taarifa zako sahihi. Hizo ni taarifa zangu sahihi kwa sasa. Screen ya mwisho nayo ina taarifa ambazo ni muhimu sana.
View attachment 1434843
Screen hii ya mwisho kwenye mlolongo huu inaonyesha tuuite CONTACTS hapa ndio utapata namba za simju za dharura ambazo unaweza kuzitumia kuwapata ndugu wa Mhusika. Muhimu hapa ni kuweka taarifa au namba za simu ambazo huyo mtu au ndugu yako sio wale ambao hawapokei NEW NUMBER, unatakiwa kuweka namba ambazo zina watu wenye kuweza kufanya maamuzi juu yako, sio wale ambao wataanza kulia badala ya kutoa msaada wa faster.

Nakaribisha maboresho zaidi kwa simu nyingine au simu nyingine pia, kwa mfano kwa Watumiaji wa Samsung series kuna button ukiwa na dharura ukiibonyeza inatuma taarifa za location ulipo kwa namba ambazo umesevu pamoja na kuendelea kupiga picha na kutuma kwenye hizo namba hio ikiwataka kuja kutoa msaada wa haraka.


barikirikiwa sana kaka mkubwa, haya ndiyo mambo ambayo yanatakiwa kufanyika kipindi asante sana
 
Back
Top Bottom