Covid 19 mara baada ya Bunge kuvunjwa kuhamia CCM na ACT

Covid 19 mara baada ya Bunge kuvunjwa kuhamia CCM na ACT

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Hizi ndizo taarifa ambazo zinasikika kwenye mikutano yao kama ambavyo wahenga walisema hakuna siri ya watu wawili. Na hawa imekuwa ni ya watu 19. Wanaambiana mengi na wengine wanakuja kutuambia. Hasa sisi wenye mahusiano nao.

Sitaelezea kwa kina maana mnaweza unganisha code mkaja jua mimi ni nani na nina mdate nani kati yao. Ila my galfriend kanihakikishia kuwa kwa asilimia 95 wanahamia CCM na ACT maana wameshanyanyaswa sana na CDM utadhani hawajui nani aliwafanya wawe wabunge.

Wengi wamejikuta wanafurahia chama cha mapinduzi zaidi wanasema kule kuna amani wanakula pesa zao bila kuwa na wasiwasi wa kupigwa na polisi, kudhalilishwa au kunyanyasika. Kwa sasa umri umeenda wanataka wale mafao yao vizuri.
 
Hizi ndizo taarifa ambazo zinasikika kwenye mikutano yao kama ambavyo wahenga walisema hakuna siri ya watu wawili. Na hawa imekuwa ni ya watu 19. Wanaambiana mengi na wengine wanakuja kutuambia. Hasa sisi wenye mahusiano nao.

Sitaelezea kwa kina maana mnaweza unganisha code mkaja jua mimi ni nani na nina mdate nani kati yao. Ila my galfriend kanihakikishia kuwa kwa asilimia 95 wanahamia CCM na ACT maana wameshanyanyaswa sana na CDM utadhani hawajui nani aliwafanya wawe wabunge.

Wengi wamejikuta wanafurahia chama cha mapinduzi zaidi wanasema kule kuna amani wanakula pesa zao bila kuwa na wasiwasi wa kupigwa na polisi, kudhalilishwa au kunyanyasika. Kwa sasa umri umeenda wanataka wale mafao yao vizuri.
Ni kutafuta maslahi binafsi tu
 
Hao wanajuta sana kwa kitendo walichofanya. Nadhani jinsi muda wa uchaguzi unavyokaribia hata usingizi hawapati. Wengine wataishia kuzawadiwa Ukuu wa Wilaya na wengine watasaulika milele. Majuto ni mjukuu.
 
Mimi nawaunga mkono 100%. kama walikosea chama kilishindwaje kuwasamehe? Mbona mwenyekiti alikosea kwa kumpokea mtu ambaye hakua safi na akawatupa waliokipambania chama kama akina Slaa?
 
Ushauri wa bure kwa hhao wabunge 19. Kwa muda huu uliobaki pesa yote watakayopata kama mafao, posho, mishahara, n.k. wawekeze kwenye miradi itakayowaingizia pesa na kuwasaidia kuendesha maisha yao huko mbele ya safari. Vinginevyo wakijitia kiherehere kuzitumbikiza kwenye siasa ili warudi bungeni watajuta baadaye. Kati ya wote 19 hawatazidi watano kati yao ambao inaonekana wazi ni "asset" na mfumo utawabeba.

Wakumbuke kuwa wakati ukifika wa kuhamia ugenini ni hao wawili mpaka watano tu kati yao ambao ni "asset" ndio watapata heshima wanayostahili. Waliobaki watakuwa kama yatima na mbaya zaidi hata watoto wa mwenye nyumba nao ni wengi na nafasi zilizopo ni chache hivyo vita watakayopigwa hawatasahau milele.
 
Ubunge Si ajira ya kudumu,

Wanaweza kubaki kuwa wananchi wa kawaida na maisha yakasonga.
 
Back
Top Bottom