Dongo kubwa sana hilo. Na sasa nakuhakikishia atakuwa anagonga mvinyo. Hajawahi kuwa rafiki kwetu. Na hawapendani. Iko waziUpdates si ndiyo hiyo aliyoitoa? kwamba ''unaweza kufufua uchumi lakini huwezi kufufua mtu aliye kufa'' hilo ni dongo sisi tulikuwa tunapambana kuunyanyua uchumi sasa mambo ni moto.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Saa nne usiku hadi saa 10 asubuhi mida hiyo watu wameshalala wewe ndio unasema marufuku watu kutoka nje?
Naona hapa polisi wa Kenya wakifuatilia wakenya wasiovaa barakoa kirahisi zaidi Mchana kuliko usiku wa manane.Mchana huwa rahisi kwa polisi kufuatilia nani hajavaa barakoa, anakuona hata kwa mbali huko na kukujia, ila usiku unajimwayamwaya bila libarakoa kwa raha zako haujali kitu.
Niwe mkweli, sio asili yetu Waafrika kwenye kuchukua tahadhari, mimi binafsi nachukia sana barakoa, inanifanya nijihisi kama zuzu hivi, ila ndio sayansi hiyo na siibishii, isingekua kwa mapolisi sidhani kama ningevaa barakoa, ila tu basi inabidi maana kwa uzembe wetu Waafrika lazima tulazimishwe hata kwenye kuchukua tahadhari.
Barakoa inasaidia kwa asilimia fulani, kwanza kwa namna Watanzania husongamana, mna bahati sana corona haijawa na hasira dhidi ya Waafrika, mngepukutika kama kondoo na mbuzi.... huwa mnasongamana kwenye midaladala na kupumuliana humo balaa.
Naona hapa polisi wa Kenya wakifuatilia wakenya wasiovaa barakoa kirahisi zaidi Mchana kuliko usiku wa manane.
View attachment 1724210View attachment 1724209View attachment 1724211
Ila niwatakie kila la Heri, nina Marafiki hapo Kenya na Workmates,
Naskia wimbi la tatu limekuja kivingine. Msione aibu kujifukiza, kutumia tangawizi na Malimau kama sehemu ya Milo yenu..
Ruto is Kenya's Next president. Usimkebehi Rais wako ajae. This is non negotiable or Kalenjins will terribly avange.Tliza mihemko usome upya nilichoandika, nimekiri sote tuna uzembe wa kuvaa barakoa na tunazivaa tu kisa polisi wanatuvizia, kwa kifupi polisi wanatusaidia kuchukua tahadhari maana wenyewe tungeachiwa tungekua mapoyoyo kama nyie huko.
Halafu huyu Ruto anakera kishenzi zaidi ya balaa.... heshima iliyokua imesalia naona nikiishusha maana amekua kama huyo kiongozi wenu, kuwarubuni raia kihivi kwa kweli ni hovyoo, huyu akiwa rais tutegmee vituko kama vya kenu.
Aisee... Wewe kweli jinga! Hivi hapo Kenya kila mtu anavaa barakoa?Mchana huwa rahisi kwa polisi kufuatilia nani hajavaa barakoa, anakuona hata kwa mbali huko na kukujia, ila usiku unajimwayamwaya bila libarakoa kwa raha zako haujali kitu.
Niwe mkweli, sio asili yetu Waafrika kwenye kuchukua tahadhari, mimi binafsi nachukia sana barakoa, inanifanya nijihisi kama zuzu hivi, ila ndio sayansi hiyo na siibishii, isingekua kwa mapolisi sidhani kama ningevaa barakoa, ila tu basi inabidi maana kwa uzembe wetu Waafrika lazima tulazimishwe hata kwenye kuchukua tahadhari.
Barakoa inasaidia kwa asilimia fulani, kwanza kwa namna Watanzania husongamana, mna bahati sana corona haijawa na hasira dhidi ya Waafrika, mngepukutika kama kondoo na mbuzi.... huwa mnasongamana kwenye midaladala na kupumuliana humo balaa.
Kenyata kapiga marufuku siasa si sababu ya corona balo uoga ni kama vile ilivyokuwa kwa museven juziTliza mihemko usome upya nilichoandika, nimekiri sote tuna uzembe wa kuvaa barakoa na tunazivaa tu kisa polisi wanatuvizia, kwa kifupi polisi wanatusaidia kuchukua tahadhari maana wenyewe tungeachiwa tungekua mapoyoyo kama nyie huko.
Halafu huyu Ruto anakera kishenzi zaidi ya balaa.... heshima iliyokua imesalia naona nikiishusha maana amekua kama huyo kiongozi wenu, kuwarubuni raia kihivi kwa kweli ni hovyoo, huyu akiwa rais tutegmee vituko kama vya kenu.