Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
MWENENDO WA UGONJWA WA CORONA NCHINI
Wizara ya Afya inathibitisha uwepo wa wagonjwa wapya 29 wa COVID-19 Tanzania bara.
Hadi sasa Tanzania idadi ya Wagonjwa imefikia 88 na wote wanaendelea na matibabu chini ya uangalizi wa wataalam afya.
Wagonjwa wapya leo ni 29 kwa bara na 6 kwa Zanzibar.
Wizara ya Afya inathibitisha uwepo wa wagonjwa wapya 29 wa COVID-19 Tanzania bara.
Hadi sasa Tanzania idadi ya Wagonjwa imefikia 88 na wote wanaendelea na matibabu chini ya uangalizi wa wataalam afya.
Wagonjwa wapya leo ni 29 kwa bara na 6 kwa Zanzibar.