Hali hii ni matokeo ya kuuchukulia poa huu ugonjwa(wengine hawataki kunawa,kukwepa mikusanyiko,n.k).
Kama tunafikiri tunaikwepa "lockdown", basi tujue tunaitafuta tena kwa speed ya mwanga.
Hali ikiwa mbaya, watawala hawatakubali kuonekana hawachukui hatua, bali watafanya maamuzi magumu na ikiwezekana hata kutangaza lockdown(total au partial lockdown).
Tuna hatari ya kuzipiku nchi zote zinazotuzunguka.
Ni wazi tukifanya mass community testing, matokeo yanaweza kutushangaza.
Kwenda Dar kwa sasa, ni kama kwenda Italy,Spain au US.