Chige,
Mkuu, wewe kama wewe ni lazima kila mtu mwenye akiri timamu akuheeshimu, ikuzingatiwa kwamba wewe ni binadamu kama mtu yeyote Yule
Na ieleweke kwamba, kupingana kwetu hapa ni kile mtu Ambacho amewaza na kukianika hapa ndicho tunachojaribu kujengeana uelewa wa pamoja
Nakubaliana na wewe Kwa baadhi ya mambo mengi Tu uliyotoa hapa
Siungani na wewe Kwa baadhi ya mambo kama sio mawili ama moja, mengine ni namna Tu ya kujaribu kutoa mifano
Ambalo sikubaliani nalo Kwa asilimia zote zisizo na Idadi, ni kashifa ambayo haukuwa na sababu ya kuandika kumhusu Yesu! Lakini hata hivyo nimegundua kwamba, huna kosa Kwa sababu masikini ya Mungu hujui chochote ulichosema, maana ni kawaida mtu kudhiahaki kitu Ambacho hajui thamani yake kama ambavyo mimi naweza kudhiahaki uchawi wako /uganga wako wa kienyeji uliorithishwa na Babu yako kwamba, unafaidika na nini,? kumbe FAIDA yako ni Kula nyama za watu n,k na kufanya uchawi usiku kusumbua majirani zako,
Jambo la msingi kujadiliana ni kwamba, ni Wakati upi na ninani ambaye amekuwa sahihi katika vita hivi na jaribio lake Hilo la kupambana na Corona limetoa matokeo Kwa haraka na kufanikiwa,
Uganda! Ndiyo nchi pekee ambayo twaweza ksema, ilijiandaa hata Kabla ya Corona ikiwa unatakiwa Tu huko kwenye mataifa mengine,ikaji lockdown, tukadhani kwamba wao wanaweza kuwa salama, lkn leo mbali na kuwa wamejifungia lakini inamaambukizi mengi kuliko Sisi hapa
Twende, Burundi nako vilevile
Njia iiyosalama na yenye kuleta matokeo Kwa kupambana na maambukizi ni ipi? Mbona karibu zote zimefeli?
Tuendelee kufuata taratibu zooote zinazoelekezwa na wizara