COVID19 Tanzania: Wagonjwa wapya 35 waongezeka; idadi yafikia 88 (Aprili 15, 2020)

COVID19 Tanzania: Wagonjwa wapya 35 waongezeka; idadi yafikia 88 (Aprili 15, 2020)

Hiyo Dada ya korona inasemaje? inambinu yoote mpya ya sisi kujilinda na korona? Ifi yanini maamusi ya kitu kubwa hifi inafanyiwa na mwanamke tena isiyo dakitari?? Wanaume woote tunasikiliza tuu yeye hii ni aibu kwa morani
 
Gallius,
Yaani im worrying for them kuliko hata ninavyojiworia mimi. Yaani acha tu. Hapa kila siku nawapigia simu nawasisitiza wabaki majumbani.

Ila tatizo unaweza ukabaki nyumbani ukaletelewa na hawa wanaokwenda mijini kutafuta mkate wa kila siku. It is complicated [emoji26].
Pole sana, I can feel that hapo ni kuhakikisha wanachukua tahadhari za mwanzo kabisa kuvaa protective gears mfano facial mask, gloves etc kuwa na hand sanitizer hii ina work vizuri akiwa ana ofisi zao...

Ishu inakuja kama kazi zao zinaruhusu kukutana na watu wengi...

All in all wachukue basic precaution [emoji17]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mask unavaa ikiwa unakohoa na dalili zingine,ikiwa wewe huna tatizo mask si muhimu kwako, eleqwni hivyo
Wewe umekremishwa na ukameza bila kutafakari,mathalani upo sokoni au kwenye daladala,je akitokea mtu anakohoa au anaongea na hajavaa mask na droplets zikatua ktk uso wako na pengine ana virus nini kitatokea?

Na vilevile mask inakusaidia ku shape tabia zetu za kushika pua, mdomo kwa kujisahsu.
Jiulize wahudumu wa afya wanaovaa hizo mask wao wanaumwa?
 
Chige,
Mkuu, wewe kama wewe ni lazima kila mtu mwenye akiri timamu akuheeshimu, ikuzingatiwa kwamba wewe ni binadamu kama mtu yeyote Yule

Na ieleweke kwamba, kupingana kwetu hapa ni kile mtu Ambacho amewaza na kukianika hapa ndicho tunachojaribu kujengeana uelewa wa pamoja

Nakubaliana na wewe Kwa baadhi ya mambo mengi Tu uliyotoa hapa

Siungani na wewe Kwa baadhi ya mambo kama sio mawili ama moja, mengine ni namna Tu ya kujaribu kutoa mifano

Ambalo sikubaliani nalo Kwa asilimia zote zisizo na Idadi, ni kashifa ambayo haukuwa na sababu ya kuandika kumhusu Yesu! Lakini hata hivyo nimegundua kwamba, huna kosa Kwa sababu masikini ya Mungu hujui chochote ulichosema, maana ni kawaida mtu kudhiahaki kitu Ambacho hajui thamani yake kama ambavyo mimi naweza kudhiahaki uchawi wako /uganga wako wa kienyeji uliorithishwa na Babu yako kwamba, unafaidika na nini,? kumbe FAIDA yako ni Kula nyama za watu n,k na kufanya uchawi usiku kusumbua majirani zako,

Jambo la msingi kujadiliana ni kwamba, ni Wakati upi na ninani ambaye amekuwa sahihi katika vita hivi na jaribio lake Hilo la kupambana na Corona limetoa matokeo Kwa haraka na kufanikiwa,

Uganda! Ndiyo nchi pekee ambayo twaweza ksema, ilijiandaa hata Kabla ya Corona ikiwa unatakiwa Tu huko kwenye mataifa mengine,ikaji lockdown, tukadhani kwamba wao wanaweza kuwa salama, lkn leo mbali na kuwa wamejifungia lakini inamaambukizi mengi kuliko Sisi hapa

Twende, Burundi nako vilevile

Njia iiyosalama na yenye kuleta matokeo Kwa kupambana na maambukizi ni ipi? Mbona karibu zote zimefeli?

Tuendelee kufuata taratibu zooote zinazoelekezwa na wizara
 
Wewe umekremishwa na ukameza bila kutafakari,mathalani upo sokoni au kwenye daladala,je akitokea mtu anakohoa au anaongea na hajavaa mask na droplets zikatua ktk uso wako na pengine ana virus nini kitatokea?
Na vilevile mask inakusaidia ku shape tabia zetu za kushika pua,mdomo kwa kujisahsu.
Jiulize wahudumu wa afya wanaovaa hizo mask wao wanaumwa?
Basi tuvae helmet kabisa. Point ya hizi mask ni hajulikani nani anao nani hana, hivyo lengo kuu ni muathirika asimuambukize mwingine. Droplets zinatokea mdomoni sio machoni. Ila unaweza vaa ukijisikia ila sio inakukinga wewe bali wewe ndio unawakinga wengine.
 
Back
Top Bottom