Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ufeemapemaaawawe wanataja idadi weekend tafadhali
Kwani wewe huoni kuwakinga wengine ni utu pia?kwa hiyo daktari au nesi anapovaa anamkinga MgonjwaBasi tuvae helmet kabisa. Point ya hizi mask ni hajulikani nani anao nani hana, hivyo lengo kuu ni muathirika asimuambukize mwingine. Droplets zinatokea mdomoni sio machoni. Ila unaweza vaa ukijisikia ila sio inakukinga wewe bali wewe ndio unawakinga wengine.
Naonaaa wale wa addition maths Vs Basic maths
Ahahaha,wapi huko mkuu,karibu meatuNishakimbia Dar muda mimi wacha nikae kidogo krb na mzee wangu kwanza kama mwezi
Yaani hapa ndio umetutisha zaidiTusitishane,corona ni ugonjwa wa shetani.
Tatizo ShuleTulikubaliana mwanzo kabisa, mwaka 1964, mambo yepi tufanye pamoja.
AFYA sio jambo la Muungano.
It is that simple.
Mkuu ndo nini hiyo?Namba inapanda kama ODDS. Yaani 500 + 1.20 = 600.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Baada ya kunyimwa msaada ndio mmepata akili ya kutaja idadi sahihi,bado tajeni wote.
Dua siyo kwa kuandika!Mungu tunaomba rehema, tunusuru Baba na janga hili, tuna majanga mengi kama taifa lakini hili hatuliwezi, tuvushe Mungu wetu wewe uliye asili ya vitu vyote na muweza wa mambo yote
Usipojua kanuni za kuvaa mask..mask ni hatari kusambaza ugonjwa zaidiWewe umekremishwa na ukameza bila kutafakari,mathalani upo sokoni au kwenye daladala,je akitokea mtu anakohoa au anaongea na hajavaa mask na droplets zikatua ktk uso wako na pengine ana virus nini kitatokea?
Na vilevile mask inakusaidia ku shape tabia zetu za kushika pua,mdomo kwa kujisahsu.
Jiulize wahudumu wa afya wanaovaa hizo mask wao wanaumwa?
Walifanya lockdown too late, hata sisi tukifanya lockdown leo still utaona maambukiz yanaendelea.Hii mijama ni zaidi ya mipumbavu mkuu, yani kenya tu hapo kila siku wanaongezeka pamoja na lockdown na watu wanalia njaa wanataka kutoka alafu jitu kisa lipo kwa shemeji yake linalilia lockdown
Sent using Jamii Forums mobile app