Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ndo ukweli ingawa ni mchungu.Bado tunataja Italy na Us kuonesha uhatari wa corona! Ikifika hatua ya kutoleana mifano wenyewe katika nchi zetu afrika ndiyo hapo tutaona uhatari wa corona Afrika.
Hiyo ya kila mtu akiona mtu kafa anamdhania ni corona siyo vizuri! Tumeambiwa ni nani msemaji ambaye ameruhusiwa kuwahabarisha watanzania, kuhusu corona. Siyo kila mmoja. Watu wakiruhusu hivi vicoment vya ovyo kuhusu huu ugonjwa, tutakuwa hatuisaidii serikali na hivyo hivyo hatujisaidii.Kwa siku 14 jengo la Life House halitakuwa na huduma ya lift kuanzia kesho, Kuna mfanyakazi ghorofa ya tatu kafa na vijirusi. Pia watapuliza dawa jengo zima.
Kuna jamaa mwingine alikuwa na bar maarufu, nae kaenda kimya kimya, naona Sasa hiii ni ngoma ya kimya kimya
Nani wa kumchomoa huko aje kuchapa kazi??Kajificha Chato!
Kawanunulia wanyonge magari mapya ili yawapeleke kuchapa kaziKaugonjwa kenyewe ni kadogo, ndugu zangu tuchape kazi ....Alisikika Ali sonso
Sent using Jamii Forums mobile app
Hadi leo bado tunatoleana mifano ya Italy na Spain kuonesha uhatai wa corona,sasa hapo unataka Mungu atunusuru mara ngapi? tokea corona ianze afrika muda tungekuwa tunashindana kwa idadi ya vifo na Ulaya huko kama ambavyo wengi tulitegemea hivyo.mungu tunusuru kabla hatujafa taratibu
Mkuu ni mapema mno,subiriaHadi leo bado tunatoleana mifano ya Italy na Spain kuonesha uhatai wa corona,sasa hapo unataka Mungu atunusuru mara ngapi? tokea corona ianze afrika muda tungekuwa tunashindana kwa idadi ya vifo na Ulaya huko kama ambavyo wengi tulitegemea hivyo.
njaa babaMkuu Kama tusingedhamini pesa za watalii kuliko uhai wa watanzania,probably tungekwepa
Nenda kesho Life House, kaonane na uongozi, waulize kwanini wanazima lift kwa siku 14Hiyo ya kila mtu akiona mtu kafa anamdhania ni corona siyo vizuri! Tumeambiwa ni nani msemaji ambaye ameruhusiwa kuwahabarisha watanzania, kuhusu corona. Siyo kila mmoja. Watu wakiruhusu hivi vicoment vya ovyo kuhusu huu ugonjwa, tutakuwa hatuisaidii serikali na hivyo hivyo hatujisaidii.
Tuache comment za utani, kuonyesha kwamba maambukizi ni mengi au machache, doesn't matter - you are supposed to take the necessary precautions not to be infected or not to infect any one.
Tufuate ushauri ugonjwa siyo siasa.
Picha ya Dada ya Korona
Ndio wataanza kukukimbilia wilaya nyengine waupeleke...Wawe wanataja kiwilaya ili.kujua wilaya IPI ina wagonjwa wengi ili hatua za kuchukua ziwe juu kwa wakazi Wa maeneo husika ya wilaya husika
Mkuu wataalam wa afya wanapotuelimisha kuhusu corona,wanatuelimisha na dalili za ugonjwa wenyewe sasa wewe Kama polepole kafungia akili zako pale lumumba kiasi kwamba huwezi ona wala kuzitambui hizo dalili kwa mgonjwa aliyeko karibu nawe hadi Ummy aje akutangazie ni wewe,sisi wengine akili zetu tunazo so usitake tuwe Kama weweHiyo ya kila mtu akiona mtu kafa anamdhania ni corona siyo vizuri! Tumeambiwa ni nani msemaji ambaye ameruhusiwa kuwahabarisha watanzania, kuhusu corona. Siyo kila mmoja. Watu wakiruhusu hivi vicoment vya ovyo kuhusu huu ugonjwa, tutakuwa hatuisaidii serikali na hivyo hivyo hatujisaidii.
Tuache comment za utani, kuonyesha kwamba maambukizi ni mengi au machache, doesn't matter - you are supposed to take the necessary precautions not to be infected or not to infect any one.
Tufuate ushauri ugonjwa siyo siasa.
Ulivyonisusa utadhani ni mimi ndiye niliyeleta Corona tz 👋👋👋👋Huo ndo ukweli ingawa ni mchungu.
Sana hadi katoa magari mapya na sijui hospitak,sijui guest 25 za kusafirisha na kupumzisha wanyonge wanapochoka kuchapa kazi ,Magufuli for lifeKamanda magufuli anafanya vizuri