Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 10,771
- 14,129
Great Thinkers,
Kama kawaida, tulio na bundle za mitandao tunajikuta tuna information nyingi zaidi za COVID19, na zinatisha. Ila wasiokuwa na access na social media wala hawana habari wanaendelea na maisha kama vile ni ugonjwa wa kawaida.
Kuanzia kesho siingii tena social media kwa siku 21.
Kwa herini GTs, tutaonana tarehe 22 May 2020.
Kama kawaida, tulio na bundle za mitandao tunajikuta tuna information nyingi zaidi za COVID19, na zinatisha. Ila wasiokuwa na access na social media wala hawana habari wanaendelea na maisha kama vile ni ugonjwa wa kawaida.
Kuanzia kesho siingii tena social media kwa siku 21.
Kwa herini GTs, tutaonana tarehe 22 May 2020.