Jr Xavi Hernandez
Senior Member
- Feb 25, 2022
- 182
- 261
Wote mdau....Wewe unqsemaje? Tuwazungumzie marehemu tuu au na hawa waliopo?
Chid Benz???Kwenye free style Rashid wa La familia anaziba pengo lake.
Ndio huyo"Daresalaam stand up,,put u'r hands up"Chid Benz???
Kwann Chid?Ndio huyo"Daresalaam stand up,,put u'r hands up"
Sema chochote mdauSjui hata nisemeje
Dah nimekuelewa,. Wapi Ngwair alikuwa anawazidi wenzake??Rapper ni nini Kwa Definition yako...
Na katika hiyo definition toa kazi zote za huyo ambaye Pengo halizibiki ili tupime na wale ambao inasemekana wameziba Pengo.., (na hapo tutaangalia nini Ujumbe, Mistari au kitu gani - inabidi tuweke vigezo)
Mwisho kabisa ni vigumu kupigana / kupambana na legend (kwa maana ya mtu ambaye amekufa katika peak yake) mara nyingi the legend is bigger than the person...
Utasikia 2 Pac (angekuwa hai) huenda angekuwa hai angetoa vibao vya ajabu ajabu na kuanza kuimba taarabu..., Au R-Kerry huenda angekufa 10 years ago watu wangemkumbuka kwa kazi yake mujarabu...
ChochoteSema chochote mdau
Rashid anakula mihogo mbezi kachokaaa!!Kwenye free style Rashid wa La familia anaziba pengo lake.
Kumbuka alishindwa freestyle hadi akampiga chupa marehemu. Siku yenyewe marehemu alishasahau kama kunashindano yeye na chidi.Kwenye free style Rashid wa La familia anaziba pengo lake.
Fact.Rapper ni nini Kwa Definition yako...
Na katika hiyo definition toa kazi zote za huyo ambaye Pengo halizibiki ili tupime na wale ambao inasemekana wameziba Pengo.., (na hapo tutaangalia nini Ujumbe, Mistari au kitu gani - inabidi tuweke vigezo)
Mwisho kabisa ni vigumu kupigana / kupambana na legend (kwa maana ya mtu ambaye amekufa katika peak yake) mara nyingi the legend is bigger than the person...
Utasikia 2 Pac (angekuwa hai) huenda angekuwa hai angetoa vibao vya ajabu ajabu na kuanza kuimba taarabu..., Au R-Kerry huenda angekufa 10 years ago watu wangemkumbuka kwa kazi yake mujarabu...