Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Wakati akifunga Mafunzo hayo CP Awadhi amewataka Wakuu hao wa Polisi Wilaya waende kutumia elimu waliyoipata kuweka mipango kazi shirikishi ya kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27,2024 ili uweze kufanyika katika mazingira ya amani,utulivu na usalama kulingana na imani na matarajio ya Watanzania.