CP Salum Hamduni usibadilike, komesha uonevu na dhuluma kupitia PCCB

CP Hamduni wewe ni mchapakazi tangu ukiwa kamanda Ilala.Ila nakuomba uongozi wa PCCB Mwanza ufumuliwe,sina imani nao, taarifa ya kufanyiwa kazi mwezi mmoja inafanywa zaidi ya miezi mitatu pamoja na ushahidi wa kutosha kupewa.
 
CP Hamduni wewe ni mchapakazi tangu ukiwa kamanda Ilala.Ila nakuomba uongozi wa PCCB Mwanza ufumuliwe,sina imani nao, taarifa ya kufanyiwa kazi mwezi mmoja inafanywa zaidi ya miezi mitatu pamoja na ushahidi wa kutosha kupewa.
Wataliona hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…