Mjini hapa wanaoheshimika sana wote hawana cpa wala nini shule za kawaida tu ndio hao kina hasheem thabeet, Jakaya kikwete, pinda, Kimei, Twissa,
Kama basic university education,, I mean Degree imeshindwa kukutoa kimaisha, hata upate PHD utakuwa hivyo hivyo tu,,
CPA kibao zinazunguka na vibahasha na wengine tupo nao maofisini mishahara sawa sawa,
Siku hizi kazi zote zinafanywa na System na tunapoelekea ndani ya 10 years to come,, System zinazokuja zitafanya kila kitu.
Ushauri tu tafuteni na Degree za Mtaani kama mnataka kufanikiwa,,
CPA sijui masters hata siku moja hazitakuletea Financial Freedom,,
Chekecheni akili vijana mtoke vipi?
Ha ha ha ni mawazo tu masela msijenge chuki..