CPA Makalla tunakulilia Mwanza, ulitufaa sana

CPA Makalla tunakulilia Mwanza, ulitufaa sana

dndagula

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2016
Posts
1,602
Reaction score
1,650
Kwa hili lililojitokeza la tengua pangua wananchi wa Mwanza tutakukumbuka sana CP Makalla kwa muda mfupi umeonyesha weledi na umakini wa kushughulikia miradi ya hapa Mwanza ie uwanja wa ndege, meli, soko kuu, timu ya Pamba, madarasa, Daraja la JPM nk kwa kweli ninakumbuka maneno ya Mbunge Tabasamu na Musukuma, nikiazima maneno yao siku ya kusaini mkataba wa jengo la kiwanja cha ndege kuwa

'TUTAKUKUMBUKA'. Tunakutakia maisha mema na yenye mafanikio
 
Huyu Makala atapangiwa kazi nyingine ama amehamishiwa mkoa mwingine??
 
Labda kama ni mwenyewe makala anajisifia humu jf lakini uhalisia huyo bwana kwenye masuala ya uongozi ni mweupe kama theluji Hana lolote
 
Kwa hili lililojitokeza la tengua pangua wananchi wa Mwanza tutakukumbuka sana CP Makalla kwa muda mfupi umeonyesha weledi na umakini wa kushughulikia miradi ya hapa Mwanza ie uwanja wa ndege, meli, soko kuu, timu ya Pamba, madarasa, Daraja la JPM nk kwa kweli ninakumbuka maneno ya Mbunge Tabasamu na Musukuma, nikiazima maneno yao siku ya kusaini mkataba wa jengo la kiwanja cha ndege kuwa

'TUTAKUKUMBUKA'. Tunakutakia maisha mema na yenye mafanikio
Hapa umekuja kujipigia Debe Makala mwenyewe.
 
Kwa hili lililojitokeza la tengua pangua wananchi wa Mwanza tutakukumbuka sana CP Makalla kwa muda mfupi umeonyesha weledi na umakini wa kushughulikia miradi ya hapa Mwanza ie uwanja wa ndege, meli, soko kuu, timu ya Pamba, madarasa, Daraja la JPM nk kwa kweli ninakumbuka maneno ya Mbunge Tabasamu na Musukuma, nikiazima maneno yao siku ya kusaini mkataba wa jengo la kiwanja cha ndege kuwa

'TUTAKUKUMBUKA'. Tunakutakia maisha mema na yenye mafanikio
Of course alipigania sana Mwanza ila mamlaka sielewi Huwa zinataka watu wa dizaini gani,labda yule mchekeshaji Makongolo.
 
Back
Top Bottom