CPA wa mchongo umeshindwa kweli kushauri Simba iwe na banda lake pale maonyesho ya Saba Saba ili mfanye biashara?

CPA wa mchongo umeshindwa kweli kushauri Simba iwe na banda lake pale maonyesho ya Saba Saba ili mfanye biashara?

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Hili wazo najua Yanga wataiba mwakani, Simba nawashauri ingawa mnaniudh sana kwa kukosa ubunifu, anzisheni banda lenu pale sabasaba mwakani mtapiga hela sana, mtauza CD za mechi za zamani mlizowapiga yanga, mtauza jezi, soksi, fulana.

Mtaweka makombe mashabiki wapige picha, wapelekeni wachezaji wa zamani akina Malota Soma, Twaha Hamidu, Mosses Mkandawile, watu wakapige picha nao, na mambo mengine.

Hamtakosa mapato pale sabasaba, sio kispika na WhatsApp. Huo ni ubunifu nawapa, shughuli za serikal kama maonyesho nyie nendeni Simba iko katika mioyo ya watu

Sasa wewe Ceo na huyo CPA mnabuni nn zaidi ya kumpigia kelele tajiri?
 
Wenzio wanawaza cha kuuza ni jezi tu so timing ya 77 inakuwa mbovu jezi mpaka 88
 
Natumia haki yangu ya kikatiba kutoa maoni fala ww, toa maoni yako na ww uone kama ntakutukana, heshimu mawazo ya mwenzako hata kama hayakupendezi, K ww
Aaaaa mbona unamtukana aiseee!?Zitapigwa halafu hatuamulii hadi ulie.
 
Ilitakiwa saa hizi jezi mpya zishazinduliwa na 77 kuna banda zinauzwa wangepata soko sana
 
Natumia haki yangu ya kikatiba kutoa maoni fala ww, toa maoni yako na ww uone kama ntakutukana, heshimu mawazo ya mwenzako hata kama hayakupendezi, K ww
Wewe mbona huheshimu mawazo yangu hadi umeamua kutukana, kwani mimi nimekutukana?
Unaonyesha jinsi ulivyo mtupu
 
Na kuna wachina na wajapani wengi, ukirosti vyura lazima waliwe.
 
Yanga walishafanya hii kitu miaka 5/6 iliyopita
Hili wazo najua Yanga wataiba mwakani, Simba nawashauri ingawa mnaniudh sana kwa kukosa ubunifu, anzisheni banda lenu pale sabasaba mwakani mtapiga hela sana, mtauza CD za mechi za zamani mlizowapiga yanga, mtauza jezi, soksi, fulana.

Mtaweka makombe mashabiki wapige picha, wapelekeni wachezaji wa zamani akina Malota Soma, Twaha Hamidu, Mosses Mkandawile, watu wakapige picha nao, na mambo mengine.

Hamtakosa mapato pale sabasaba, sio kispika na WhatsApp. Huo ni ubunifu nawapa, shughuli za serikal kama maonyesho nyie nendeni Simba iko katika mioyo ya watu

Sasa wewe Ceo na huyo CPA mnabuni nn zaidi ya kumpigia kelele tajiri?
 
Natumia haki yangu ya kikatiba kutoa maoni fala ww, toa maoni yako na ww uone kama ntakutukana, heshimu mawazo ya mwenzako hata kama hayakupendezi, K ww
Umesema hutamtukana, lakini hapohapo umelimwaga tusi..!!!
 
Back
Top Bottom