Ulianza kusema nusu sasa umebadilika unasema finalHata fainal WC haijui unamlinganisha na hao
Weka ushabiki pembeni, nitajie wachezaji 10 wenye vipaji ambao umewahi kuwashuhudiaTuongee kiuhalisia, ronaldo ana shepu ya mpira mazoezi mengi ila messi ana kipaji, na hana tumbo ya magoli kama ronaldo
Kama imekuuma chomoa bibi isijetoka na Mav*Tanzania inaongoza kwa soka ya chuki,
Point zako haswa ni nini hapo?
Ndo maana umesema pitapita yako mtandaoni ndo ikakufanya uanzishe huu Uzi.
Uchambuzi wa namna hii waachieni wengine huku kwetu ni propaganda ndo tunaziweza
Kwa hiyo kutoingia fainali ndio kukosa kipaji? Lewandoski na Halaand ambao hata hawakushiriki hawana vipaji? Mane je hana kibaji? Wewe ni bwegeHata fainal WC haijui unamlinganisha na hao
Huna akili za kujenga hoja. Ukishashiba ugali wa bibi yako unakuja hapa kutusiKama imekuuma chomoa bibi isijetoka na Mav*
Unaongea na vijitu "hovess" vimeanza kubeti kabla havijaujua mpiraNdio alikuwepo, ushasahau kwenye world cup hiyo ndio alisababisha rooney kupewa red card?
Kwa matusi haya huna uwezo wa kuanzisha mada ya maana, low IQ.Kama imekuuma chomoa bibi isijetoka na Mav*
Ronaldo alikuwepo kwe
Nimekupata vizuri kabisa mkuu, ana chuki tu na ronaldoUnaongea na vijitu "hovess" vimeanza kubeti kabla havijaujua mpira
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Kwani mkuu ni kosa yeye kufanya mazoezi na kujituma kufikia malengo yake? Kupitia hayo ameweza kufika kwenye kiwango kikubwa mno na kuwa bora mno kuliko wengine wenye vipajiTuongee kiuhalisia, ronaldo ana shepu ya mpira mazoezi mengi ila messi ana kipaji, na hana tumbo ya magoli kama ronaldo
Weka ushabiki pembeni, nitajie wachezaji 10 wenye vipaji ambao umewahi kuwashuhudia
Kumbe Unajua Ronaldo mwenzake ni Messi,basi case closed ππππMwenzake Messi amefika final mbili
Unapomtaja Messi embu jaribu kutomringanisha na ronaldo, tunamkosea saana Messi.Kama messi anavyozidiwa status na Mbappe licha ya kuzungukwa na Dybala DI MARIA AGUERO HIGUAIN NK. MESSI MOST OVERRATED PLAYER EVER EVER EVER EVER.
Case closed.Cristian Ronaldo Hana kipaji.
Ni kweli ni Mchezaji Mpambanaji,Mtu wa kutumia mbio na misuri.
Si mtaalami wa kupasia.
Mesi ni Mchezaji mwenye kipaji Cha Hali ya Juu.
Hata asipofanaya Mazoezi Mwaka mzima Bado at perform vizuri Uwanjani.
Ana skills na Ufundi.
C.Ronaldo ana bidii na jitihada