CR7, mchezaji mjivuni asiye na kipaji

CR7, mchezaji mjivuni asiye na kipaji

Tuongee kiuhalisia, ronaldo ana shepu ya mpira mazoezi mengi ila messi ana kipaji, na hana tumbo ya magoli kama ronaldo
Weka ushabiki pembeni, nitajie wachezaji 10 wenye vipaji ambao umewahi kuwashuhudia
 
Screenshot_20221219_164220.jpg
 
Tanzania inaongoza kwa soka ya chuki,
Point zako haswa ni nini hapo?
Ndo maana umesema pitapita yako mtandaoni ndo ikakufanya uanzishe huu Uzi.
Uchambuzi wa namna hii waachieni wengine huku kwetu ni propaganda ndo tunaziweza
 
Tanzania inaongoza kwa soka ya chuki,
Point zako haswa ni nini hapo?
Ndo maana umesema pitapita yako mtandaoni ndo ikakufanya uanzishe huu Uzi.
Uchambuzi wa namna hii waachieni wengine huku kwetu ni propaganda ndo tunaziweza
Kama imekuuma chomoa bibi isijetoka na Mav*
 
Tuongee kiuhalisia, ronaldo ana shepu ya mpira mazoezi mengi ila messi ana kipaji, na hana tumbo ya magoli kama ronaldo
Kwani mkuu ni kosa yeye kufanya mazoezi na kujituma kufikia malengo yake? Kupitia hayo ameweza kufika kwenye kiwango kikubwa mno na kuwa bora mno kuliko wengine wenye vipaji
 
Kama messi anavyozidiwa status na Mbappe licha ya kuzungukwa na Dybala DI MARIA AGUERO HIGUAIN NK. MESSI MOST OVERRATED PLAYER EVER EVER EVER EVER.
Unapomtaja Messi embu jaribu kutomringanisha na ronaldo, tunamkosea saana Messi.
 
Cristian Ronaldo Hana kipaji.

Ni kweli ni Mchezaji Mpambanaji,Mtu wa kutumia mbio na misuri.
Si mtaalami wa kupasia.

Mesi ni Mchezaji mwenye kipaji Cha Hali ya Juu.
Hata asipofanaya Mazoezi Mwaka mzima Bado at perform vizuri Uwanjani.
Ana skills na Ufundi.

C.Ronaldo ana bidii na jitihada
Case closed.
 
Kwa hiyo kutoingia fainali ndio kukosa kipaji? Lewandoski na Halaand ambao hata hawakushiriki hawana vipaji? Mane je hana kibaji? Wewe ni bwege
Lewandosiky gani ambae hakushiriki?
 
Back
Top Bottom