Umeshawahi kufanya written?Written sio ishu sana...practical ndo wengi tunafeli
Mi nimeshawai kufanya mkuuuUmeshawahi kufanya written?
Imekaaje mkuu nitoe tongo tongoMi nimeshawai kufanya mkuuu
Kikubwa mkuu kwenye Writen soma sana Compailer jamaa nimakatili sana, yaani kwa mfano kwwnye tangazo wakisema ujue labda php mandatory, basi jua unakutana na php,javascript,html,css na Ajax...Imekaaje mkuu nitoe tongo tongo
Nimekusoma sana kiongozi asante sana 🙏🏿Kikubwa mkuu kwenye Writen soma sana Compailer jamaa nimakatili sana, yaani kwa mfano kwwnye tangazo wakisema ujue labda php mandatory, basi jua unakutana na php,javascript,html,css na Ajax...
Maswali yao wanakupa piece of code unachagua output yake na pia wanakupa syntax error ulekebishe kwa kuchagua jibu,
Mfano
1. What will be the output of the following PHP code?
<?php
"Hello World"
?>
a) Error
b) Hello World
c) Nothing
d) Missing semicolon error
Pamoja mkuiNimekusoma sana kiongozi asante sana [emoji1545]
Kikubwa mkuu kwenye Writen soma sana Compailer jamaa nimakatili sana, yaani kwa mfano kwwnye tangazo wakisema ujue labda php mandatory, basi jua unakutana na php,javascript,html,css na Ajax...
Maswali yao wanakupa piece of code unachagua output yake na pia wanakupa syntax error ulekebishe kwa kuchagua jibu,
Mfano
1. What will be the output of the following PHP code?
<?php
"Hello World"
?>
a) Error
b) Hello World
c) Nothing
d) Missing semicolon error
vipi mkuu, ushawai kufanya prac za utumishiWritten sio ishu sana...practical ndo wengi tunafeli
nami naongezea apa wakuu kwa aliyewahi kufanya prac, hua unachagua language unayotaka au kuna limittaion?Hint za practical vp mkuu
Waandika pale..using any language of your choicenami naongezea apa wakuu kwa aliyewahi kufanya prac, hua unachagua language unayotaka au kuna limittaion?