Craig David ..Hivi huyu handsome boy alipotelea wapi?

Kweli kabisa Mchukia Fisadi ...haipo na haitawahi kuwepo labda offer ya wokovu yenyewe inapatikana bure kwa kuamini na kukubali:A S 103:

FL1, ukweli ni kwamba hii offer si bure itanigharimu mimi mamilioni ya tsh ila wewe hutatoa thumni, nitagharamia kila kitu. Hata hayo mengine aliyopreworn Mchukia Fisadi hatayakuwepo ondoa shaka. Wengine tumeumbwa kuwafurahisha wengine pasipokudai chochote in return, trust me you.
 
he makubwa haya kumbe usipokuewa na G/F watu wanasema ww ni Gay ..loh mbebamabox hebu lete habari za kweli na kuaminika kuhusu Craig..
nimepigwa na Butwaa ....

Basi maaskofu na mapadri ni gays kwa maana hiyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…