Craig Mack afariki dunia

Craig Mack afariki dunia

I take my rap style a little bit serious.. wat do u think is that serious!! R.I.P
 
Pole yake, lakini anaonekana alikuwa anatumia sana "Cha Arusha"
 
Na mlifaidi kweli,siku moja namwambia mzee wangu ukiskia King khan ndo huyu movie zake hatari,akanambia simjui lakini zile tulizoangalia sisi za kina Jim Kelly hatari zaidi,alinisimulia mpaka nikatamani ningewepo.
Akiwa kwenye three the hardway...
Alikusimulia hiyo?
 
Rip cm mpaka leo nakumbuka sana beat yake enzi hizo pini za mbele ni chanel O tu na mtv ya kitambo noma sana
 

Attachments

  • 29177030_1628046057310057_5115126139520824692_n.jpg
    29177030_1628046057310057_5115126139520824692_n.jpg
    50.7 KB · Views: 32
Na mlifaidi kweli,siku moja namwambia mzee wangu ukiskia King khan ndo huyu movie zake hatari,akanambia simjui lakini zile tulizoangalia sisi za kina Jim Kelly hatari zaidi,alinisimulia mpaka nikatamani ningewepo.

Duh!

So mimi ninalingana na mdingi wako?
 
Huyu jamaa alikua ahamie deathrow east kipindi cha east/west coast beef.
 
Naikumbuka vyema hiyo pin ingawa nilikuwa sijui alieimba ni nan, kipindi hiko nilikuwa nawakuta mabraza wanasikiliza, wanaimba na mimi naanza kuimba nachokijua mwenyewe.

Alale mahali panapomstahili huyu mkongwe
 
R.I.P Craig Mack.

Nimekumbuka beat ya Flavor in your Ear nilikuwa nayo kwenye collection ya beats nilizokuwa natambaa nazo mara kwa mara.
 
Back
Top Bottom