Crazy Fans of Wema, Kiba and Jokate to vote for Davido


Kaka hao watu wasikuumishe kichwa kwa sababu c watz pekee wanaopiga kura kuna kenya;ug,kongo,burundi na nyingine watampigia diamond na kwa africa diamond anajulikana sana kuliko kiba.
 
bnafs....ntampgia vee mapesa na davido..who is the hell is daimond?? na nyodo zake?? si aljfny kutulisha ndm??? ss kbao kmemgeukia..mm yan nyodo zake tuuuu ndo zmeniboa! vote foe vee money and davido.......
 

hapa vote for vee money.n davido onlyyy
 
Timu kiba jamani acheni ufisadi, kuweni wazalendo, msiwe kama kile chama chetu..
cc nifah .
 
Last edited by a moderator:

Asante kaka kwa kuonyesha wenzetu walivyo makini na mambo yao
 
husika na kichwa cha habari naombeni msaada ndugu zangu
 
Wema is sick, realy fkn sick., anamtukana kajala hadharani ,ktk media. Clouds tv, now ktk take one.

What a b***h..
 

Duh una msimamo
 
Hahahahaaa, hiki kichambo ni balaa aiseeee...

Hii timu ina double standard za kipuuzi mno. Chao wakishabikiacho ni Sawa kwa wengine nonsense. Hawaombi kupigiwa kura wao ni kukashifu na kukejeli wapiga kura.
Dharau za kijinga zime wa cost wengi kwa kujiona bora kumbe. Yani hawa mashabiki maandazi ndo wana mharibia zaidi diamond.
 
Ivi ni kweli Wema ana nguvu hizi za kuwaambia wa-Tz wasimpigie kura Diamond na kweli ikamfanya Diamond ashindwe nitakua mtu wa mwisho kuamini.
Mkuu umeongea pointi halafu ni nani anatuletea habari kuwa eti Wema anaweza kusababisha Wtz tusimpigie kura Diamond na pia kwanini mtu unatoka povu na mtu usiyemjua kama apige au asipige si ni hiari yake na DIAMOND akikosa hawezi kushuka kwa sababu eti kakosa TUZO si mara ya kwanza kupata na si mara ya kwanza kukosa,kwenye KTMA bado yeye ndo anashika rekodi ya kuzibeba nyingi 7 hii rekodi haijavunjwa na hizi za jana si kapata 2 si wapo ambao hawajapata au hawajawahi kupata toka waanze muziki mbona sio tatizo kwao na anazo TUZO AMBAZO BADO HAWAJAZIFIKIA WASANII WENGINE
 

Hakuna anaetaka kura zenu maboss wenu wameshatoa maelekezo mkampigie Davido, mbona mnajstukia tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…