Crazy Fans of Wema, Kiba and Jokate to vote for Davido

Kupiga kura
Diamond Platnumz kategori 3 (tatu) - Best MALE, Best COLLABORATION na Best LIVE and Vanessa 1(moja) -- Best FEMALE

ingia kwa link hii chini

MAMA 2015


Bonyeza bonyeza VOTE usichoke

******************

Nimeshafanya yangu. Naruhusiwa kurudia rudia au moja tu inatosha.
Tusipojiinua Watz wenyewe nnanim atatuinua?

Tunapoongelea utanzania wetu bifu tunatupa kuleeee
 
Na siku ya uchaguzi mkuu muhamashishane kupiga kura kuliko kuanzisha team za kipuuzi zisizo na faida...
 
Nimeshafanya yangu. Naruhusiwa kurudia rudia au moja tu inatosha.
Tusipojiinua Watz wenyewe nnanim atatuinua?

Tunapoongelea utanzania wetu bifu tunatupa kuleeee



safi Sana KOKUTONA unaruhusiwaa kupiga kura mpaka ikuambie sorry umetosha mpaka kesho
 
Last edited by a moderator:
Wema anampenda dai.
Na hawez fanya huo ujinga.
Tatzo lenu ni umbea umbea tu na mambo ya team zenu kwa watu wasowajua.
.

.
Weita mpe mtoa udhi kiroba cha buku nitamlipia
 
Wema anampenda dai.
Na hawez fanya huo ujinga.
Tatzo lenu ni umbea umbea tu na mambo ya team zenu kwa watu wasowajua.
.

.
Weita mpe mtoa udhi kiroba cha buku nitamlipia


eti kiroba cha buku hhhhaaa
 
Hata mimi nashangaa, chukulia mfano sisi mashabiki wa Kiba tuliopo humu tumeshawishiwa na wema kumpigia kura Davido?
Tena mimi nataka Wizkid ashinde na sio huyo Davido wanayesema.

Viroba vitawaua.
Ata uzalendo hamna.
...
....
.....
Weita waongeze na hawa viroba viwili viwili
 

Hahahahaaa, habari ndio hiyo.

Na hii ina Impact, is not a joke ndio watz tulivyo tunahusudu visivyo vyetu. Mf. Halisi ni mpira umetushinda kwa sababu akili kama hizi ndio zinaoongoza taifa. FIKIRA FINYU.
 
Vipi nikuagizie naww ??...
Eti mnasemaga tatizo nyota.
Apana sio nyota wala #.
Viroba ndio vinavyosumbua


vinawafaa hao ambao wanaacha kumpigia kura Daimond wanampigia davido
 
Kama hivi...ama nini jamani? Hapa kazi tu...
Hahahahaaa
 

Attachments

  • 1434395934006.jpg
    41.4 KB · Views: 93
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…