Has Diamond ever come forward kukanusha anything magazeti ya udaku yameandika? Lini umeshaona Diamond anakanusha anything because magazeti ya udaku yameandika. If he was to do that angeshinda akikanusha magazeti 24/7 because they all write hear say or make believe stories. You will have to be in his shoes to understand that life. Do you believe everything Global au udaku magazeti write? Maana hiyo habari iliandikwa na udaku na we all know hakukua na uthibitisho. Hivi have you wondered je kama all that was a lie just so the so called newspaper could sell copies or it was written by a journalist who hates Diamond kwa sababu zake binafsi? Kama huamini story nyingi za udaku why would you believe this?
Rais lazima alale Mbeya kwenye hotel yoyote because yeye ni rais na kama Mbeya hakuna hotel ya maana ya Rais kulala then it is the president's shame. So referencing the president is a poor attemp to justify your hatred. Rais alieenda kuomba kura Mbeya will have to go to Mbeya regardless of hotel standards. Diamond is a business man, it is business and he has a choice to conduct it the way he sees fit.
Sasa wewe hujampigia kura Diamond but una mention that hajashukuru waliompigia kura. I think he made it clear a few weeks ago how he felt about KTMA, please go back and read his post you will understand. Tanzanians, God!! why do we feel so entilted? Why make it look like the boy owes his life to us? If we were all this personal about the future of our country and make mafisadi and leaders accountable..believe me we would be far!