Danny greeny
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 3,856
- 1,648
Hahahahaaa, huna jipya? Maana umekomalia hilohilo.
Sijui vita hua mnazitaka za nini huku mnajua fika huwa hamjiwezi.
Eeish, nilidhani kuna ligi ya maana hapa kumbe ni ujinga ujinga tu kama mtoto wa primary bwana!
Dume zima linakata kiuno nyuma ya keyboard na neno moja tu, kaoge...kaoge!
nifah huyo blogger anataka kuogea madhiwa labda mwambie aje huku nimmwagie mi Azam milk
Last edited by a moderator: