Crazy Fans of Wema, Kiba and Jokate to vote for Davido

Crazy Fans of Wema, Kiba and Jokate to vote for Davido

Hivi watanzania mna masaibu gani. Kuna watu wanadai diamond ana dharau, sasa hyo dharau mnaiona mashabiki wa Wema tu. Nimepita pita kitaa kuuliza watu na wanasema hawana tatizo na Diamond.

Ila nimekuja kujua kumbe chanzo cha chuki ni mimba ya zari na kuachana na wema. Washabiki wa wema hawajakubali hali ya wema kutokuwa na raisi wa wasafi, pia Wema nae bado ana kisasi, na ndo mana anaendesha kampeni ya kumpigia kura Davido na sio mtanzania mwenzake Diamond.

Ila tu nisisitize; Jokate, Wema na Mange, nyie na washabiki wenu mpigien Davido wenu, ila msitake kufanya watanzania wengine wamchukie Diamond bila sababu. Sisi watanzania wengine tutampigia kura.

Na naona Vanesa nae ashaanza kuingia team Wema, mana anajipigia promo yeye mwenyewe na kumuacha Diamond, badilika dada.

Vote for Diamond ana Vanesa, MTV Awards.

mwache v money ajipigie promo mwenyewe,mbona diamond na zari wake hawamjumlishi Vanessa ktk promo zao? hakuna huruma hapa
 
Kwendraaaa zako, ule uzi unadhani nimesahau eeh?

Hata hivyo kura yangu hana, hutaki unaacha tu maana hunipi bundle.

jamani naomba kuulizwa tunapigia nini. Mi nilidhani ni jinsi wimbo ulivyo mzuri. Sijui Chuki za Diamond ni zanini nadhani shida yake moja tu kwa mtanzania ni kufanikiwa baasi. Shame on you yaani mnapigia majimbo mabaya kwa sababu ya chuki. Na hawa waandaaji sijui kwa nini hawabuni mbinu ambayo ni fair! Aidha kama mnaona Diamond ana dharau hebu tafuteni mashindano yanayo husu suala la dharau. Kwa mfano muwashindanishe wana muziki kwa unyenyekevu! Basi ili Diaomond ashindwe kihakali, maana eti mnamuona si mnyenyekevu!! Lakini kwa mkali wa nyimbo kutumbuiza hata mtoto mdogo anaelewa!!!
 
Hayaa sie tupo na kina idris pia tunapiga Tu kura
 

Attachments

  • InstagramCapture_6af332b1-14a5-4153-a1e7-2435719101b5_jpg.jpg
    InstagramCapture_6af332b1-14a5-4153-a1e7-2435719101b5_jpg.jpg
    43.1 KB · Views: 170
Na bado.Sio huyu diamond tu, tatizo lipo kwa mashabiki wake pia.Juzi hapo baada ya taarifa kutoka kuwa kapata nominations huko tulitukanwa na kukashifiwa sana humu JF, sasa nimpigie kura ili ashinde halafu nitukanwe zaidi?
No way, nitampigia ninayemtaka maana device na bundle vyote ni vyangu na hakuna wa kunipangia.

Siyo wewe nifah ninaemfahamu lazima kuna kitu. Busara zote ulizonazo leo umekuwaje?? Tatizo la hii Nchi ni kuacha wajinga wajinga waendeshe mambo ya msingi. Wema ni nani katika tasnia ya music mpaka ajione yeye ndiye anaamua nani apate tuzo za KTMA??? Kuna tatizo somewhere ila haya mambo yana mwisho GOD will stand!
 
Last edited by a moderator:
tena uje nakumwagia maji ya Moto mamaeeeeee urudi kwa ngosha Wako umebabukaaa,hasa uje na nifah nae nitammwagia Moto kabisaaaa,,yaan mim nahama jf kabisaa hhhhaaaa

dadadeki tuone sasa nani zaidi?yani nakuja kukushushua huko huko staki mchezo mie..
maji ya moto shangaa ntakuja kukumwagia ww mwenyeji
 
Uzalendo?
Koh koh koh!
AFRICA UNITE.
Vote for wizkidayo, sauti sol, flavour na vanessa mdee wifi yangu wa ukweeliii
Wanaoshangaa nadhani mmekosa vitu vya kushangaa.Jiulizeni kwanini sindano ndogo hushona makoti makubwa!

Kwani mamy nyerere si alisema waafrika wote ni ndugu? Tupendane na tushirikiane.?
Sisi kwani tunamakosa kuwapenda waafrika wenzetu?
 
Siyo wewe nifah ninaemfahamu lazima kuna kitu. Busara zote ulizonazo leo umekuwaje?? Tatizo la hii Nchi ni kuacha wajinga wajinga waendeshe mambo ya msingi. Wema ni nani katika tasnia ya music mpaka ajione yeye ndiye anaamua nani apate tuzo za KTMA??? Kuna tatizo somewhere ila haya mambo yana mwisho GOD will stand!

Mkuu katika hili naomba unisamehe tu, sina jinsi kwakweli!
Huu ndio muda wangu wa kuumiza na wengine.Wiki iliyopita diamond alivyopata hizo nominations huko kwakweli nililiona jukwaa chungu kupita maelezo.
Matusi na mbwembwe zilikua nyingi sana, hata mimi nina moyo naumia pia.
Kwahili nimepoza machungu na mimi, kiroho safi.
 
Last edited by a moderator:
Ni hivi mnatutesa Sana na mnatuumiza Sana kuacha kumpigia kura Mtanzania mwenzenu na kuwapigia kura wanaija,kisa na sababu zisizo za msingi sasa ni hivi pigieni hao wanaija,ila ikitokea siku Kiba nae akienda kushindania tuzo za Africa na wasanii wakubwa na sie tutalipa kuwapigia kura wengine tutamuachaaa Kina
Na ole wenu ,ole wenu tutawaona
Nasema tutalipa sie team Diamond
Yaoneni sura zenu mbayaaa mfyuuuuuuuuuuu ,

Jamani kwa wenye mapenzi mema na diamond tuendelee kumpigia kura najua baadhi ya team kiba wapo wanaompigia kura Daimond tuendelee kumpigia ashinde,Tanzania kwanza jamani mengine tuyaache
hatuihitaji matusi yametosha
mzurimie njoo na ile link watu waendelee kupiga kura,
Pigia kura Daimond,vanesa ,na sauti soul pia ,,pigien category zote msichoke jamanii.
MTVMAMA.Com
Nadhan nimeeleweka kadoda11 niitie hao wakenya kina NairobiWalker na wengine
Lingine tuacheni chuki haijengii

Haya.....nini wataka sasa?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom