Crazy GK baada ya kimya kirefu aonekana

Anamaana cdm imefulia kama ect hapa haeleweki na pia huyu anajikosha sababu mama yake ni mbunge viti maalum cdm akiwakilisha mkoa wa mbeya nasikia na yeye anandoto za kuwa diwan upanga

Kumbe ni hivyo? Mama yake anaitwa nani vilee?
 
"Crazy gk na stan boi east cost team itikadi zetu hakuna mfano"

Azote we utakua ni kizazi cha mulugo tu aka kizazi cha mambululaz watoto wasiofatilia current issues,we unamjua domond,ommy dimpoz na kina b12 watu kama kina ansbert nguruma jacton manyerere hauwajui kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Wakati anahojiwa na akina Millard alisema East Coast ni chama kubwa kama CHADEMA sijui na yeye alishatangaza nia ya kujiunga rasmi kama Prof J? Hivi CDM mnampango wa kuanzisha MUSIC ACADEMY eenh? Maana wasanii wote naona wanajiunga huko kwa kasi.

huyu anakadi kitambo mbona ya CDM au umesahau kua mama yake ni mbunge kupita PEOPLES POWEEEEEEER
 
"Majibaba yenye uwezo wa kirap hata kifedha"

Jamaa alibamba enzi zake,sa hv anasema kuna nymbo kafanya na Ambwene Yesaya na Hamis Mwinyijuma hvo ataziachia.

anasema TEMEKE RAP STYLE NDO MWISHO KUWAKILISHA.
 
GK alikuwa anasoma aligraduate mwaka 2012 Tumaini University. Nadhani aligeukia elimu na kuacha mziki
 

mkuu, Stan Boi ni mwanamuziki mwenye kipaji.
hapa yupo na msanii Omarion wa B2K
 
Kilichomtoa kwenye game crazy GK ni pale alipolewa sifa za mafanikio na alipoanza kuvuta bangi{kumbuka alikuwa hajawahi kuvuta hata sigara } na akapitiliza . Mwishowe akaanza kurekodi nyimbo za ajabu kama PIGA MANATI. Huo ndio ulikuwa mwisho wake wa game . Yaani alianza kuwa kama chizi aliyepagawa na ndoto za ajabu na hapo ndipo kina mwana FA na AY wakajitenga naye. GK akabaki na east coast jina tu na vijana wadogo wavuta bangi wa kuokoteza na pia east coast kikawa kijiwe cha kuvutia bangi . Na huo ndio ukawa mwisho wa east coast team. Ukweli ndio huo. Hakuna issue ya CLOUDS hapo
 
GK Ashukuru sana kwa kutoka katika familia afadhali kwani hivi sasa asingekuwa na tofauti yeyote na akina O ten, TID, FANANI au marehemu Ngwair
 
jamani unanionea mimi mbona ferooz namfahamu,hata wimbo wa mikasi nilikuwa naufahamu,sema nimekuja kumfahamu muimbaji baada ya kuwa amekufa.mimi namfahamu Jembe kibanda na balile,hao kina manyerere si wa gazeti la jamhuri,na huyo ngurumo si wa Tanzania Daima,mimi kizazi cha Prof kapuya,alitufutia mtihani,ikabidi tufanye january 1999
 
Wakati anahojiwa na akina Millard alisema East Coast ni chama kubwa kama CHADEMA sijui na yeye alishatangaza nia ya kujiunga rasmi kama Prof J? Hivi CDM mnampango wa kuanzisha MUSIC ACADEMY eenh? Maana wasanii wote naona wanajiunga huko kwa kasi.
Chadema ndiyo habari ya mjini, hutaki unaacha.
 
1. Sister sister
2. Itikadi zetu
3. Ama zangu ama zao
4. Tutakukumbuka daima milele
5. Simba wa africa
6.
Nitakufaje
7. Miiko 10 ya rap

ongezea sauti ya manka
 
Ngoma yake ya NITAKUFAJE, naikubali sana.
ILa huyu kijana ni JEURI kuliko uwezo wake wa kazi.
Uwezo wa kushindana na watoto wa kiumeni hana...!
 
wanaume hapa, aka msitu wa vina....kuku dume anampanda Jiikei
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…