Crazy GK mbona kimya mzee wa show za mill 30 ???

Zama zake jamaa alikuwa fiti mno....Kila zama na nabii wake.

Sister Sister kwangu unabaki kuwa wimbo bora zaidi kuhusu Ukimwi pembeni ya Fani Katika maisha na Alikufa kwa ngoma.
Nitakufaje na tuko pamoja ndio nazielewa zaidi.!
 
kaja na video kali lakini ngoma haijabamba...aendelee kusoma tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…