Crazy GK mbona kimya mzee wa show za mill 30 ???

Crazy GK mbona kimya mzee wa show za mill 30 ???

ile interview yake niliiona .....huyu jamaa anastress za kupotea kimziki akawa anaforce kurudi..
na sisi washabiki hatuna habari nae sasa tunaye HAMORAPA-KIBOKO YA MABISHOO.
GK akafie mbele
 
Maisha yako kama mchezo wa kupokezana vijiti yeye vijana wenzie wamesha mpokea sasa inabidi aturie tu.
 
Zama zake jamaa alikuwa fiti mno....Kila zama na nabii wake.

Sister Sister kwangu unabaki kuwa wimbo bora zaidi kuhusu Ukimwi pembeni ya Fani Katika maisha na Alikufa kwa ngoma.
 
ile interview yake niliiona .....huyu jamaa anastress za kupotea kimziki akawa anaforce kurudi..
na sisi washabiki hatuna habari nae sasa tunaye HAMORAPA-KIBOKO YA MABISHOO.
GK akafie mbele
Kwa nyimbo ipi!!Ana heat kwa mitandao tu!Nyimbo yenyewe kawaida xna,huwez mfananixha na GK
 
Jembe LA enzi. " Naisikiaaa nikilala naisikia" Sauti ya Manka.
 
Kichwa cha habari kimenifanya nicheke sana. Eti Crazy JK! We jamaa unatafuta kesi sio bure.
 
Back
Top Bottom