Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
wewe ni mtu wa ajabu kweli mamaaUgali kabichi na maharage me nakula
Tambi ndo nakulaga tu ili nisife njaa
Mshirika wa AssistMie kuchit-chat kwenye love connect nimeacha siku hizi....
Nilichit-chat uzi wa mdada mmoja ikawa kesi. Nikaambiwa wewe si umewatamgazia wasije pm tushakubaliana??
Unioe sasa
Unadhani tu hata kwa huu mwandiko wangu naweza kukutumia meseji ya mwanangu naomba 50 000???Mshirika wa Assist
Mie kuchit-chat kwenye love connect nimeacha siku hizi....
Nilichit-chat uzi wa mdada mmoja ikawa kesi. Nikaambiwa wewe si umewatamgazia wasije pm tushakubaliana??
Unioe sasa
Nlimtongoza mdada baadae nikaja kugundua ni dada angu
Kumbe na yeye yupo jf
Pili kumwachia swalehe simu awe anaingia jf kukoment mambo ya kitototo
Tatu nlimwenda mod farida pm dah hili siji sahau
Nne nshawahi Mponda mzee mmoja humu Kumbe ni mzee angu baadae nikaja jua id yake ali mind yaliisha Nlimwambia "we kenge watoto wako wana hasara sana "
Tano Nshawahi mfuata maxence melo pm kumdai trophy points maana nliambiawa unaweza zibadilisha zikawa hela aisee alipata taabu sana maana nlilalamika aisee [emoji23][emoji28]
Ngoja niishie hapa maana ni mengi
Nani mimi au weweHunaga akili [emoji3][emoji3][emoji3][emoji28]
๐๐akia Mungu hilo sio mboga.twende mbele turudi nyuma
ugali na kabichi.
tunakula ili tusife tu..