Crazy things you did in Jamii Forum

Crazy things you did in Jamii Forum

Ugali kabichi na maharage me nakula
Tambi ndo nakulaga tu ili nisife njaa
wewe ni mtu wa ajabu kweli mamaa

kabichi ni mboga au tunda? duh halifai..

ila ugali hata na jina lako tu me nakula.
 
Mie kuchit-chat kwenye love connect nimeacha siku hizi....

Nilichit-chat uzi wa mdada mmoja ikawa kesi. Nikaambiwa wewe si umewatamgazia wasije pm tushakubaliana??

Unioe sasa
Mshirika wa Assist
 
Nlimtongoza mdada baadae nikaja kugundua ni dada angu

Kumbe na yeye yupo jf

Pili kumwachia swalehe simu awe anaingia jf kukoment mambo ya kitototo

Tatu nlimwenda mod farida pm dah hili siji sahau

Nne nshawahi Mponda mzee mmoja humu Kumbe ni mzee angu baadae nikaja jua id yake ali mind yaliisha Nlimwambia "we kenge watoto wako wana hasara sana "

Tano Nshawahi mfuata maxence melo pm kumdai trophy points maana nliambiawa unaweza zibadilisha zikawa hela aisee alipata taabu sana maana nlilalamika aisee 😂😅

Ngoja niishie hapa maana ni mengi
 
Mie kuchit-chat kwenye love connect nimeacha siku hizi....

Nilichit-chat uzi wa mdada mmoja ikawa kesi. Nikaambiwa wewe si umewatamgazia wasije pm tushakubaliana??

Unioe sasa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nlimtongoza mdada baadae nikaja kugundua ni dada angu

Kumbe na yeye yupo jf

Pili kumwachia swalehe simu awe anaingia jf kukoment mambo ya kitototo

Tatu nlimwenda mod farida pm dah hili siji sahau

Nne nshawahi Mponda mzee mmoja humu Kumbe ni mzee angu baadae nikaja jua id yake ali mind yaliisha Nlimwambia "we kenge watoto wako wana hasara sana "

Tano Nshawahi mfuata maxence melo pm kumdai trophy points maana nliambiawa unaweza zibadilisha zikawa hela aisee alipata taabu sana maana nlilalamika aisee [emoji23][emoji28]

Ngoja niishie hapa maana ni mengi

Hunaga akili [emoji3][emoji3][emoji3][emoji28]
 
..that one pu$$ I got from here, damn it....[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom