Nakumbuka cku yakwanza naingia shule flani form1 nilibana mavi kwa siku kama 3 hiv kisa ctaki kwenda chooni vyoo vichafu utoto wa Mama mwingi. Cku kama ya 4 niko assemble kilichonitokea Mungu mwenyewe anajua. Ngoja niishie apa
Wa Ashira Girls hawapo humu
Mzeiyaa Ndo ilikuwa michezo yetu iyunga sec demu mmoja watu 5 chezea ugwadu wa kutopga mbunye kwa muda mrefu ww
St. Anthony's Sec. Mbagala kuna jamaa walifanya mashindano kutembea UCHI wa MNYAMA mshindi apate Tsh. 20,000/= (watu walichanga) jamaa ili kufika mwisho akapewa hiyo pesa na baadae jioni akafukuzwa shule.
Mlivaa chupi ya VIP zina mistari horizontal kawaida ya chupi Hizi zinabanaga Sana na zinakatika katikati, sa nlikua Nacheza mpira, si unajua zamani timu moja lazima Ivue shati..? sa ile VIP bhana ikakatika, si ikaanza kupanda juu? Kuja kustuka Ipo tumboni halafu Madem walicheka saaana daaah!!!
nakumbuka nikiwa la std 7, afu ndo nilikuwa kati ya top 5 wanaotegemewa kubeba bendera ya shule.
Tukafanya mitihani, nikapata inglish 16% walimu walipagawa wakaniita ofisini wananishambulia wanataka kunichapa. Ile kuniuliza nimepatwa na nini.
Nikawajibu, Nimerogwa.
Ilibidi waniache maana nilikuwa nalia kama mfiwa.
Na siku ya kula wali unavaa nguo za mapigano. Uji ukiwa hauna sukari na maharage yamejaa wadudu lakini mnagombania!
tulikuwa tuna mtindo wa kudoji vipnd unapga msuli bwenn sasa kuna cku ticha akaja bwenn 2likwa na mwanangu 2napga msuli ile tcha kufungua mlango mm nkaingia chin ya uvungu wa ktanda dah c nkaingia nusu viatu vikaonekana tena sikuvaa soks miguu imepaukaa ticha alpoiona miguu ikabdi acheke to wakt huo mm cjui kama kama ameniona nkawa nasema kmoyo moyo kilugha lelo ndero..yaan leo ndio leo
Sikonge na Ngonalugali - wazee wa Complex, mmnenikumbusha mbali sana. BTW wale watoto wenu mlowaacha pale kijijini Kikuyu sasa ni wakubwa, mnapeleka matumizi wakulu??