gilldenu
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 2,915
- 3,019
Nakumbuka cku yakwanza naingia shule flani form1 nilibana mavi kwa siku kama 3 hiv kisa ctaki kwenda chooni vyoo vichafu utoto wa Mama mwingi. Cku kama ya 4 niko assemble kilichonitokea Mungu mwenyewe anajua. Ngoja niishie apa
Hahaha hahaha bro nn kilikukuta au muscles zili relax zen mzigo ukashuka wenyew.....