Crazy things you did in secondary school

Ndabo tupige buku maji chuo alooo kuja kufika chuo na kwenye aiseee acha tu ils ndanda ilikus raha kiasi chajke
 
One of the unforgettable crazy sex I have with a lady who ignored to submit herself to teachers but fu.cked with me and we run.
No
After school we had like three days in the lodge, and that was her first sex, my mshedede, sometimes stacks in hers,

To be continue......

But when we visited girls secondary school we had special names, introduced to our girlfriends. They are popular too in our home school to all mates.

Sometimes these nicknames are put up the roof of girls domitories. And suppose you have yours and when heared our names get surprised how come this name is found at the roof in the girls domitories?? Craziest thing we did those years.


Nimekumbuka mbali nikaamua kutema.yai🥚


Ilikuwa ukitoka mbele kutema 🥚mademu wanavyofurahia.....na kukugombea.....
 
Hahahaha,umenikumbusha hata sisi kuna lijinga liliwahi kunya bafuni (bafu za kisasa hamna tundu)

Kuna kipindi hatukua na maji kuna mijitu ikawa inakula sana,afu inaenda kunya bila ku frush wala kujitawaza[emoji23]
Aisee malezi ni tofauti sana kwenye kila familia. Mtu mwenye akili timamu aliyelelewa vyema hawezi fanya huo upuuzi wa kunya kunya hovyo kwa sifa.
 
ha haa 😁😁😁😁😁
 
Yaani nimecheka !!
Msandaweeee
 
I see tulofanya hivi tupo wengi sana. Nilikuwa nikipata barua basi najua 'deal' hilo. Stamp itatumika kwenda kwingine... Ufisadi ulianzia huku 🙂
Duh umenikumbusha mbali sana . Nilikuwa mtaalaam wa kufuta mihuri juu ya hizo stempu.
 
We upo fkd up mkuu
 
Upo nae sasa mkuu au
 
Aaah bwana miye nilikuwa natoa rushwa kwa mpishi mmoja hivi anaitwa Babu basi siku za wali nyama jumanne na alhamisi wali maharage. Miye naingia mapema jikoni nakula kitumbo ndii natoka km moja huyooo naenda chimbo. Alafu sikuwa nabeba watu kipeke yangu hiyo. Miaka hii ya 2000 kuna mtu aliniambia weè unamaisha fualani hivi nayapenda unasimama peke yako yani toka huko nyuma hadi sasa.
 
Tulikwepa kipindi tukspewa adhabu ya kukata mti ulioanguka (ni mjohoro tuupeleke jikoni)kwa sababu ya mvua,tukaenda kuusimamisha then tukarudi staff office kuripoti kuwa hatujakuta mti ulioanguka,kisanga tulichokutana nacho siezi kusahau
 
Tulitoroka Shule kwa kigezo cha kufata ada, Tukaishia kwenda playstation (PS) asubui saa 2 kipindi hicho magu ndo anaingia madarakani alikuwa hataki watu wakae vijiweni asubuhi, Bwana wee Tukadakwa na polisi tupo kibandani tunacheza games tulipigwa pingu kama majambazi kwenda kituoni sitasahau siku ile ila anyway tulikosa nguvu za kwenda darasani wiki nzima baada ya kuachiwa kutoka kituoni miguu ilikuwa inatetemeka [emoji23]
 
Miaka ya shule inachekesha sana hahahaha
 
Tulitoroka kwenda kwenye Bai Koko kule Mwakizalo usiku tukiwa tumetoka Galanosi. Hahaa, ni mbali sana usiku wa manane tunarudi si tukakutana na Polisi. Tukaambiana, tukutane shule na hakuna kutajana. Kila mtu apite njia yake. Hahaaa, sijawahi kukimbia kama nilivyokimbia siku ile. Mitaani watu walijua kiberenge kinapata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…