Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,457
Jamani kuna watu wanaomkumbuka Mwalimu MPANDE wa Moshi Technical
Of all the people, Mpande alikuwa kiboko, hasa hasa usemaji wake wa ki-swangi akiwa uwanjani ana fanya football coaching
Nakumbuka kulikuwa na mchezaji mmoja anaitwa Nasib (akicheza kama centre forward, I think) Mpande alikuwa akimwambia
"Nasib DO NOT SMOKE THE BALL MINUS TO YUA FRIENDS!" akimaanisha "Nasib usivute mpira, toa pasi kwa wenzio"