Crazy things you did in secondary school

Crazy things you did in secondary school

Hahah,..nakumbuka nlivokuwa form 4 tulirecord video ya documentary ya shule,,..yaan maisha ya shule,...kila mtu alikuw anafanya kituko chake, .hahah, yaani it was crazy and amazing
 
kwa shule za bweni,madume watupu,siku ya disko ilikuwa ishu..matayarisho ni zaidi ya miezi miwili.....kuhusu viwalo ,kwenda library ilikuwa muhimu ie kuazima pafyumu na nguo...kachupa ka pafyumu huwa kanakuwa kamoja,mnapulizia kwa zamu...ukichelewa ukikuta imeisha,unavunja kale kamdomo ka chupa then unajaza maji ,unatikisa kidogo,nawe unapaka....ndo maana kuna kademu wakati wa bluzi kaliwahi kuniuliza mbona wote mnanukia harufu zinazofanana??..nikapata kigugumizi..nikabaki eeer ooh eerr...ndani ya disko ole wako usiopoe kademu hasa wakati wa bluzi...bwenini hautakaa...manake baada ya disko wenzio wataanza kuletewa barua zenye manukato ,wewe hola!!!
kuhusu stempu ...kulikuwa na kaujuzi ka kufuta ule muhuri nafikiri kwa kutumia sponji na sabubi flani....then una reuse......maisha yalikuwa raha sana jamani!!!



😃😃😃 we mdau nahisi tulisoma School Moja...
 
tena ufisadi wake kauanzia mbaliiiii no wonder why baadhi ya viongozi wetu wanakua mafisadi wakubwa wakipewa dhamana kubwa kubwa serikalini hatuwezi jua wao vipaji vyao walianza vigundua lini kwa kufanya nini!

well hope uliyejipatia 78% hukuendeleza kipaji chako maana ni against sharia za Mungu

Hii kitu mm pia nlifanya chuo, tofauti mm nlimis test, kwa wale mliosoma dsm mnamkumbka dr Nyirabu wa PS deptment, chezea kumis test bila sababu za msingi
 
Nilikuwa na tabia mbaya ya kuuliza maswali kama haya.

Nilipomaliza shule nikaacha hiyo tabia mbaya.

Na wewe ukimaliza shule utaacha pia.
 
Walimu wanafunzi waliopo vyuoni, mpaka sasa hawajaenda kufanya mazoezi ya ufundishaji kwa vitendo tatizo likiwa ni ukosefu wa pesa ya kijikimu wawapo katika vituo/shule za mazoezi. Kimsingi, wanapaswa kufanya mazoezi hayo kwa muda wa miezi 2 (siku 60) lakini mpaka hivi sasa wapo vyuoni bila kujua hatma yao.

Mazoezi haya ni muhimu sana ili kupata walimu bora waliofunzwa kwa vitendo. Najiuliza kitu nakosa majibu sahihi, kama zoezi hili ni la siku 60 lilipaswa lianze mwezi FEBRUARY, Je! Litafanikiwa kwa kiwango sahihi ikiwa mwezi wa tano walimu wanafunzi ngazi ya cheti na stashahada wataanza mitihani yao ya mwisho?

Elimu yetu imeingiliwa na siasa kwa kiwango kikubwa sana na kuinasua kazi bado tunayo. Hakika walimu hawa hawawezi kuwa bora ikiwa mafunzo yao ni ya dhahania tu bila vitendo. Ikumbukwe mwaka jana hawa hawa walimu wanafunzi wakiwa mwaka wa kwanza walifanya ufundishaji kwa vitendo kwa muda wa siku 21 tu badala ya miezi miwili. Elimu yetu tunaipeleka wapi?

HAKIKA HATUWEZI KUPATA WALIMU BORA KWA NJIA HII.
 
Kwa kweli cjui hii serikal inaiwaziaje sekta ya elimu! yani kila cku ni siasa tu na usanii uliokithiri! hv kwel bajeti haikupangwa au ni jambo gen kwamba kuna wanachuo watatakiwa kwnda B.T.P february kila mwaka!! kwa kwel nimechoka kabsa yani...
 
Hebu tulia uje na taarifa kamili inawezekana una pointi nzuri! Unazungumzia walimu wa ngazi ipi?
 
Eeeeh! huu mwaka ni shida tuuuuuuu kila kona mara katiba,mara daftari la kudumu la wapiga kura,mara sijui Escrow,yaani taabu,lkn pamoja na yote kwenye Elimu siyo kwa kucheza kabisa,fanyeni fujo zote lkn Elimu iacheni na ubora wake,serikali pelekeni hao walimu B.T.P.
 
~ Got chased by the headteacher and deputy head, a whole crowd of us in school uniform where in one area our school had been forbidden to enter by the school otherwise could result in expulsion, only 2 were caught, thank God I was not part of the two...

~ You used my camera to take photos of your sleeping friends, especially when they were drooling and posted it on the announcement boards...

~ Used to sneak out of school all the time as a day student and buy foodstuff that were all contraband...

~Would go to the dining hall before the lunch bell goes...

~ Used to write rylics of the artists of your preference... (remember 2Pac, Bob Marley?)

~ Ulizoea kujiandikia barua ili uonekane wewe ni mpokeaji mzuri wa barua.

~ Ukitumiwa EMS au TMO basi wewe unaonekana Baab kubwa!

~ Kuchomekea shati ilikuwa kero kwako, ulifanya hivyo wakati wa kukaguliwa Jumatatu baadae 'unapiga chini'.

~ Kufua soksi ilikuwa kero sana kwako, ulikuwa unazivaa mara 5 kwa wiki kisha unazifua Jumamosi (ukiwa na pair moja).

Hizi ni baadhi, tena nyingi ni kwa upande wa wanaume... Ladies, what you used to do (crazy ones pls).

walking arround school with mirror and some cosmetic
 
Wale waliosoma mlama sec nlikuaga na chali yangu mmoja kipindi tunasimuliana vibwenge tulikuaga na kopo letu la kukojolea....jamaa alikuaga mwoga akiamka lazima anistue so tunakojoa kweny kopo afu mkono tujamwaga nnje ya dirishaaa.....
Na kuna washikaji wangu walikuaga vikojozi balaa afu wakakaa kweny deka moja si ilikua balaa ....huyu jamaa akikojoa leo kesho wana swap aliyekojolewa anamkojolea tena ilikuaga ugomvi kila siku😁😁😁😁😁

Na kuna mshikaji wangu huyo nlikuaga nikiamka afu nikamuona yy najua uji napata sasa balaa niamke nisimkute najua uji ndo ushaisha ...sasa nikiamka nimkute bado hajaondoka so najiguarentee napata uji so na kweli naenda kunywa na napata kweli
 
Back
Top Bottom