Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliwahi Kufuliwa Sweta Na Mwalimu Wa Nidhamu Form 1....Daaah Hilo Tukoi N Jau Na Sitosahau Maisha Yangu YoteTehe tehe Tehee! Mkuu, mbona umenikumbusha mbali!
~Kwa kuwa mgao wa nyama mezani hautoshi, na nyama zenyewe ni mara moja kwa wiki, basi kiranja wa Bwalo akigeuka tu pembeni, umekwapua nyama kwenye dishi la msosi na kutia nyama kadhaa kwenye mfuko wa suruali !!! Kwikwi kwi...!
Bila shaka utakuwa umeacha saivi,na kama hujaacha jitahidi uache ni dhambi hiyoNilikuwa nikienda kupiga punyeto!najitayarisha kama naenda library na bweni lazima wajue!!!nabeba kikopo changu,sabuni na picha ya kunipa stimu demu kakaa kihasara ni ya porn! hiyo tulikuwa tunaazimana kwa kila mpiga nyeto!
Mwaka 1993 ulikuwa hujazaliwa?!!🤔🤔 Kuna haja ya Jf kuweka utaratibu wa watu kutuamkia humu. Au umelenge mwaka 73?73' au 93'?
aisee..sina hata dalili ya kuzaliwa
Nipe shikamoo yangu....Mwaka 1993 ulikuwa hujazaliwa?!!🤔🤔 Kuna haja ya Jf kuweka utaratibu wa watu kutuamkia humu. Au umelenge mwaka 73?
1999 pugu sec samahan kama wahusika wapo nikiwa mapinduzi bweni~ Got chased by the headteacher and deputy head. A whole crowd of us in school uniform were in one area our school had forbidden to enter, otherwise could result in expulsion. Only 2 were caught; thank God I was not part of the two.
~ You used my camera to take photos of your sleeping friends, especially when they were drooling and posted it on the announcement boards.
~ Used to sneak out of school all the time as a day student and buy foodstuff that were all contraband.
~Would go to the dining hall before the lunch bell goes.
~ Used to write lyrics of the artists of your preference. (remember 2Pac, Bob Marley?)
~ Ulizoea kujiandikia barua ili uonekane wewe ni mpokeaji mzuri wa barua.
~ Ukitumiwa EMS au TMO basi wewe unaonekana baab kubwa!
~ Kuchomekea shati ilikuwa kero kwako, ulifanya hivyo wakati wa kukaguliwa Jumatatu baadaye 'unapiga chini'.
~ Kufua soksi ilikuwa kero sana kwako, ulikuwa unazivaa mara 5 kwa wiki kisha unazifua Jumamosi (ukiwa na pair moja).
Hizi ni baadhi, tena nyingi ni kwa upande wa wanaume. Ladies, tell us what you used to do (crazy ones pls).
HII tumeifanya sana enzi hizo SHYBUSH SEKONDARI. Sio stempu tu hata tiketi za mabasi, kipindi hicho tulikuwa tunarudishiwa nauri. Nauli 2000/= unaongeza sifuri Inakuwa 20,000/=.~Hata hizo barua unazojiandikia mwenyewe, hununui stamp hata siku moja! Stamp inafutwa muhuri na kutumika mara kadhaa! I think Shirika la Posta na Simu (jina la enzi hizo) halikupata chochote kwa barua kutoka mashuleni!
Halafu picha Ilikuwa jambo mkubwa sana. Disco likiisha kinachosubiriwa ni picha tulizopiga na mademu. Kipindi hicho picha kusafishwa mpaka mkanda ujae, hivyo mnaweza subiri mwezi mzima.kwa shule za bweni,madume watupu,siku ya disko ilikuwa ishu..matayarisho ni zaidi ya miezi miwili.....kuhusu viwalo ,kwenda library ilikuwa muhimu ie kuazima pafyumu na nguo...kachupa ka pafyumu huwa kanakuwa kamoja,mnapulizia kwa zamu...ukichelewa ukikuta imeisha, unavunja kale kamdomo ka chupa then unajaza maji ,unatikisa kidogo,nawe unapaka....ndo maana kuna kademu wakati wa bluzi kaliwahi kuniuliza mbona wote mnanukia harufu zinazofanana?
nikapata kigugumizi..nikabaki eeer ooh eerr...ndani ya disko ole wako usiopoe kademu hasa wakati wa bluzi...bwenini hautakaa...manake baada ya disko wenzio wataanza kuletewa barua zenye manukato ,wewe hola!!!
kuhusu stempu ...kulikuwa na kaujuzi ka kufuta ule muhuri nafikiri kwa kutumia sponji na sabubi flani....then una reuse......maisha yalikuwa raha sana jamani!!!
Enzi za Pond kuoga kwa wiki ni mara moja. Vyoo lazima uvue shati ndio unaingia, na maji ya kunywa weekend u narudi na kidumu cha maji Lita 51999 pugu sec samahan kama wahusika wapo nikiwa mapinduzi bweni
Nimetokaa hme na pilau na kukuu nikaenda kusoma jamaa wakanioteee wakakomba vyote kumbuka sijala nangalia hotpot zote on 🔥 🔥
Aisee niliiumia nkashinda njaaaaaaaaa
Jmosi onayofwata nkajiongeza nkaenda home nkala nkashiba jpili narudiiii nkabeba chakulaaaa
Kabla nikala nkashibaa pyuuu kilichobakia nkasema hiki nawapiga tukiooo
Mpwaa hatareeè...nikaendaaaa pharmacy nikanhnunuaaa dulucolax za buk 3000 ponda nusu. Mwagia kwa chakulaaa changanyaaaaa sanaa
Nenda pondaa nusu za 1500 changanya na mbiogaaa ba vipande 3 vya kuku mama huwa alikuwa ananipa na etx za kula na wenzangu kwenye dabodeka
Kufikaaa nkafikaaaaa nkaachaa msosi nkaenda nje ya geti kuna mama alikuwa na kaduka kaka nkanywa sodaa kaa pale kama Lisa limojaaaaaaaa......
Narudiii bweni nakutaaa watu wamepanganaa choooooooon nkaonaa hapaaa wataniua nkaenda kusomaaa weee aanaekuja darasani analaani mpwaa unauaa watu hukooo wamekula msosi wakoooo balaaa wanaharishaa hatare umeweka nn nkawambia sijagawa chakula kwa mtu kawaulize waoo
Dulucolax
Ni dawa ya kuwafisha tumbooo ukila haidanganyi yaan unajiharishia kama mnasubiriana
Usifanye hivyo kama uko sec
Tulikuwa tunapaita Sniper! Lazma ujue kuwa na shabaha 😃Enzi za Pond kuoga kwa wiki ni mara moja. Vyoo lazima uvue shati ndio unaingia, na maji ya kunywa weekend u narudi na kidumu cha maji Lita 5
Hahaha embu elezea vizuri mkuukutembea Na Madam.
Nilisndikiza kwake lakin Tukatembea siku nzima.
HahahaBack in the days tupo High School tulifanya kituko kimoja mpaka tukamsababishia kesi Headmaster.
Tulikwenda likizo bwana! Tukavuta mpaka February ile kurudi, tukaandikiwa barua na Second Master kuwa tuwafuate wazazi home, tulikuwa watu wanne tukajipanga usiku na tukaandika barua na kuchongesha mhuri wa headmaster pamoja na saini yake.
Aisee kwa mara ya kwanza niliona headmaster anatoa machozi kwa sababu alishindwa kuikana saini yake na mwandiko wake. Kesi ilizimwa kiaina tu maana yule mzee alipata presha, sisi wanne tulikula bakora na tukashikilia msimamo kuwa tulipewa ruhusa na mkuu wa shule, na barua ni hizo hapo. Tulikula ban ya maisha kuwa tusipewe tena ruhusa ya aina yoyote.
Yule mzee kwa sasa ni marehemu il tulimchezea akili vibaya sana.
Matibabu au vipimo wakati huo ilikuwa bure daktari akanipima, majibu hakuona chochote,ila akanipa dose ya mseto nikapga vitatu, nikarudi skuli,mwalimu aliyekuwa mkali kwa viboko,akaniita,akaninunulia andazi na chai, kufikia sa5 nikawa niko sawa,sawasawa kabisa, kiukweli niliokoa mwili wangu kutoka katika kisago cha uchelewaji,kutofanya assignment darasani. Cha ajabu ndugu zangu licha ya kufanya vyote hvyo ili tu nisiwe mtoro skuli, kwa sasa niko mtaani licha ya kufauli mtihani wa mwisho CSEE 2019 KITUO NO. 3003 Number yangu 0014 kutokana na umasikini mkubwa ktk family yetu.
Vipi bada ya hapo hukuendela na shule!Nimeshindwa kuku quote ndugu ila ndo hivyo A ya history. Cc PSL god