mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Tatizo ni AIRTEL.ila cha ajabu watu wa mikoani ndo mtandao wao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hua inasikitisha sana...
tips ndonn?simbanking via tips unaweza tuma direct kwenda lipa namba, ila pia sio ya kuwaamini beba na cash
Sana lo sema ndio mambo ya mitandao sometimes!Hua inasikitisha sana...
Tanzania instant payment system. Ukituma/ukipokea hela kwenye akaunti kutoka kwenye simu utaona notification inasema TIPStips ndonn?
Tupe ushuhuda aseeKuna siku nusu nidhalilike mahali, nilitumia huduma ya watu bila kua na wasiwasi maana Wana lipa namba na nilikua na cash ya kutosha m pesa, kilichotokea sitokaa niamini online transactions kabisa hapa tz