Tetesi: CRDB anzeni mchakato wa Boss mpya pia Dr Madelu jiandae kisaikolojia!

Tetesi: CRDB anzeni mchakato wa Boss mpya pia Dr Madelu jiandae kisaikolojia!

1. Kwa siasa zetu zilivyo hawa CRDB NI vizuri wakaanza mchakato wa kupata boss mpya ifikapo Oktoba 2025. Fuatilia matukio makubwa ya kitaifa hivi Karibuni utapata jibu mfano Infrastructure bond, never miss events za kitaifa n.k

2. Mwenye uelewa wa Kisiasa anaweza kunusa yajayo pale Wizara ya Fedha [CV ya MN inambeba haswa - corporate exposure, Kada na mengineyo] Wabunge wa majimbo ya Kagera - Nkenge etc ni wakati wa kupisha kiti.

3. Singida All Stars/Esta express aka Dr first class wa Uchumi tafuta cha kufanya baada ya Oktoba 2025.

3. Kigumu Chama Makini Kigumu.

NB: Hakika Wizara ya Fedha inaenda kupata JEMBE.
Yaani aache U C.E.O wa bank ya pili kwa ukubwa nchini kisa Ubunge na Uwaziri??? Hata wakichanganya mishahara bado U. C.E.O unamlipa zaidi kuliko Ubunge na Uwaziri.

Kama unahisi Dr. Kimei ameingia Bungeni kwa sababu ya pesa zaidi unajidanganya. Kimei ameingia kwenye Siasa baada ya kustaafu kwa sababu za ki umri. Ni kwamba Bungeni Kaenda kupumzika tu...
 
2018 Jiwe alitaka kupora pesa zao...alikujacwaziri from Danmark hapa....wakati endorse huyumD sasawalikuja pia...
As of March 31, 2024, the largest shareholders of CRDB Bank were:

  • Danida Investment Fund: 21% of shares
  • PSSSF Pension Fund: 13.3% of shares
  • National Social Security Fund (Uganda): 7.5% of shares
Other shareholders of CRDB Bank include:

  • Abbas Export Limited
    • Banque Pictet and CIE SA A/C Patrick Shegg
    • Change Global Frontier Market, PL Fund-CGPA
    • Zanzibar Social Security Fund
    • Wegen Kilimanjaro Frontier Africa Fund
    • Hans Aingaya Macha
    • National Health Insurance Fund - Tanzania
    • Duet Africa Opportunities Master Fund IC
    • CMG Investment Limited
    • Kimberlite Frontier Master Africa Fund LP
CRDB Bank is Tanzania's largest bank by assets.
We jamaa kweli unaijua CRDB vizuri. Ila huyu CEO aneleta challenge sana kwa NMB na inapoelekea itakuja kuongoza kwa faida kuliko NMB
 
1. Kwa siasa zetu zilivyo hawa CRDB NI vizuri wakaanza mchakato wa kupata boss mpya ifikapo Oktoba 2025. Fuatilia matukio makubwa ya kitaifa hivi Karibuni utapata jibu mfano Infrastructure bond, never miss events za kitaifa n.k

2. Mwenye uelewa wa Kisiasa anaweza kunusa yajayo pale Wizara ya Fedha [CV ya MN inambeba haswa - corporate exposure, Kada na mengineyo] Wabunge wa majimbo ya Kagera - Nkenge etc ni wakati wa kupisha kiti.

3. Singida All Stars/Esta express aka Dr first class wa Uchumi tafuta cha kufanya baada ya Oktoba 2025.

3. Kigumu Chama Makini Kigumu.

NB: Hakika Wizara ya Fedha inaenda kupata JEMBE.
Kagera inaingiaje?
 
1. Kwa siasa zetu zilivyo hawa CRDB ni vizuri wakaanza mchakato wa kupata boss mpya ifikapo Oktoba 2025.

2. Ukifuatilia matukio makubwa ya kitaifa hivi Karibuni utapata jibu kuwa kituo kifuatacho kuna ingizo jipya pale HAZINA/Moyo wa nchi ulipo.

3. Wizara ya Fedha inataka mweledi na mwenye uzoefu katika sekta Vs mchumi uchwara toka Tinde hakika [CV ya MN inambeba haswa - corporate exposure, Kada na mengineyo] Wabunge wa majimbo ya Kagera - Nkenge etc ni wakati wa kupisha kiti.

4. Singida All Stars/Esta express aka Dr first class wa Uchumi tafuta cha kufanya baada ya Oktoba 2025.

5. Kigumu Chama Makini Kigumu.

NB: Hakika Wizara ya Fedha inaenda kupata JEMBE.
We ni mwehu esther bus hana uhusiano na mwigulu
 
Ukimlinganisha huyu na Kimei ,Kimei was a head of time Guru kabisa ,huyu ni wa kawaida sana ,kama Kimei alikosa wizara huyu ni nani ?labda waangalie uchawa sio weredi kwenye secta ya kifedha
Udhaifu wa Kimei si mtu mahiri ktk uongeaji au uwasilishaji wa hoja/mada, anababaika sana ktk uongeaji wake hata akiwa bungeni

Pamoja na sifa zingne lakn waziri lazima awe ni best presentor, uwezo mzuri wa kuelezea na kufafanua será za wizara yake na Serikali kwa ujumla mahali popote anapoongea

Kimei sifa hii hana
 
Udhaifu wa Kimei si mtu mahiri ktk uongeaji au uwasilishaji wa hoja/mada, anababaika sana ktk uongeaji wake hata akiwa bungeni

Pamoja na sifa zingne lakn waziri lazima awe ni best presentor, uwezo mzuri wa kuelezea na kufafanua será za wizara yake na Serikali kwa ujumla mahali popote anapoongea

Kimei sifa hii hana
kwa hiyo waziri anachaguliwa kwa kuongea (presenter)?
 
Back
Top Bottom