Ed Kawiche
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 2,987
- 5,566
Huko Dodoma itakuwa kuna maisha magumu sana. ATM moja jiji zima?CRDB BANK mnalala sana!
Wananchi tunaoishi Ihumwa na Mtumba huku Dodoma tunasota kwa kukosa fedha kwenye ATM yenu hapa Ihumwa magorofa mapya.
Changamkeni, hamchoki kulalamikiwa!?
Acha kuweka ugumu kwenye maisha mkuu, mbona mawakala wamejaa hadi wanamwagika...๐คCRDB BANK mnalala sana!
Wananchi tunaoishi Ihumwa na Mtumba huku Dodoma tunasota kwa kukosa fedha kwenye ATM yenu hapa Ihumwa magorofa mapya.
Changamkeni, hamchoki kulalamikiwa!?
Aina noma mkuu. Ila sisi sio sababu ya hela kuwekwa๐ ๐ ๐kinje ketile Analyse cj21125 Ushimen msakaa jr Mhandisi Mzalendo Mbaga Jr
Asanteni kwa kuchangia uzi huu, Pesa zimewekwa.
Pamoja kaka, karibu sana DodomaAina noma mkuu. Ila sisi sio sababu ya hela kuwekwa๐ ๐ ๐
Shukrani sana mkuu.Pamoja kaka, karibu sana Dodoma
Tumshukuru rais kwa hili.kinje ketile Analyse cj21125 Ushimen msakaa jr Mhandisi Mzalendo Mbaga Jr
Asanteni kwa kuchangia uzi huu, Pesa zimewekwa.
Weka location mkuuPamoja kaka, karibu sana Dodoma