witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Ndio na hii ni lazima asee...hii hata Stanbic wanamiliki haka katabiaNa Wana katabia wameanza Cha kukata installment kabla ya kumpa mteja mkopo,inakera sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio na hii ni lazima asee...hii hata Stanbic wanamiliki haka katabiaNa Wana katabia wameanza Cha kukata installment kabla ya kumpa mteja mkopo,inakera sana.
Usipofanya hili hupati mkopoUmeniwahi mkuu
N ujuha wa khali ya juu kulazimishana eti mpaka mshahara uingie kwny account ya bank yao.
Mbona wengine mishahara inapitia CRDB lakini wanapewa mikopo kwenye benki nyingine, ni urasimu tu wameamua kuufanya.Usipofanya hili hupati mkopo
Si waombe ushauri kwa kimeiNiende moja kwa moja kwenye mada utaratibu mpya mliouleta kwa wakopaji ambao ni watumishi wa umma unakera kumbukeni mtu anakuja kukopa kwa sababu mbalimbali ikiwemo na maradhi mfamo leo hii miye mtu ana mgonjwa inaitajika pesa anaona ngoja nikakope CRDB niweze msaidia mgonjwa wangu anakuja kwenu mnaanza kahamishe mshahara upitie bank yetu hii ni kero kama makato yenu si mnatapa msirazimishe mteja au mmeanza kuwa kiburi kisa riba yenu ni 13%
Haya mshahara mteja anahamisha mnasema hamuwezi kuweka pesa mpaka muone mshahara unaingia kupitia bank yenu yani mteja akae siku therathini anasubulia mkopo hii ni kero ina maana hata hiyo pesa akiipaata haina maana tena vigezo vingine ni kero kero ondoeni huu ni ushauri tu.
Kwa Sasa Crdb inaongoza kwa huduma mbovu hapa Tanzania kila kitu kwao ni shida customer care zeroHii bank imefeli kwa hilo aiseee..... Walifikirie!
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Wapo busy na mbio za marathonHawa crdb wiki 4 sasa nawaangalia tu mkopo wangu hawatak kunipa tulia mashetan yangu yajae na nilivyo na hasira za simba plus mzungu