Faru dume
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 471
- 116
Habari wakuu,
Mimi kama mdau wa bank hii ya CRDB naomba nitoe dukuduku langu na kama yupo mfanyakazi au mtendaji wao tafadhari rekebisheni matatizo yenu, haiwezekani process ya mkopo ikachukua wiki tatu mpaka mwezi na Bado fedha/mkopo hamtoi, hivi hamjui mkopo ni kitu cha dharura?
Naombeni kama mmeshindwa kutoa huduma hii kwa haraka basi muwe wa wazi tu tusipotezeane muda.
Naomba kuwasilisha.
Mimi kama mdau wa bank hii ya CRDB naomba nitoe dukuduku langu na kama yupo mfanyakazi au mtendaji wao tafadhari rekebisheni matatizo yenu, haiwezekani process ya mkopo ikachukua wiki tatu mpaka mwezi na Bado fedha/mkopo hamtoi, hivi hamjui mkopo ni kitu cha dharura?
Naombeni kama mmeshindwa kutoa huduma hii kwa haraka basi muwe wa wazi tu tusipotezeane muda.
Naomba kuwasilisha.