sampuli nyingi
Senior Member
- May 4, 2022
- 187
- 298
Mimi nilikaaga wiki 3 pia ndo nikapata mkopo Yan ukiaza kufuatilia mkopo Crdb Bora ya anayefuatila Kutambulisho Cha Nida au control namba Tanesco lazima utakubali mziki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari wakuu,
Mimi kama mdau wa bank hii ya CRDB naomba nitoe dukuduku langu na kama yupo mfanyakazi au mtendaji wao tafadhari rekebisheni matatizo yenu, haiwezekani process ya mkopo ikachukua wiki tatu mpaka mwezi na Bado fedha/mkopo hamtoi, hivi hamjui mkopo ni kitu cha dharura?
Naombeni kama mmeshindwa kutoa huduma hii kwa haraka basi muwe wa wazi tu tusipotezeane muda.
Naomba kuwasilisha.
Mimi nilikaaga wiki 3 pia ndo nikapata mkopo Yan ukiaza kufuatilia mkopo Crdb Bora ya anayefuatila Kutambulisho Cha Nida au control namba Tanesco lazima utakubali mziki
Wale maana yake wanakuambia usikopeHabari wakuu,
Mimi kama mdau wa bank hii ya CRDB naomba nitoe dukuduku langu na kama yupo mfanyakazi au mtendaji wao tafadhari rekebisheni matatizo yenu, haiwezekani process ya mkopo ikachukua wiki tatu mpaka mwezi na Bado fedha/mkopo hamtoi, hivi hamjui mkopo ni kitu cha dharura?
Naombeni kama mmeshindwa kutoa huduma hii kwa haraka basi muwe wa wazi tu tusipotezeane muda.
Naomba kuwasilisha.
Yaani kuna watu wanaenda kukopa sehemu wanajua kabisa kuwa hawatolipaKazi ya kukopesha ni kazi ngumu na inahitaji umakini sana. Huwezi kumkopesha kila mtu mwenye shida. Kinachangaliwa kwenye kukopa ni uwezo wa mkopaji kurudisha. Wabongo ulikiwalegezea baada ya mwaka utakuwa umefunga benki hata kama ilikuwa kubwa kiasi gani. Tuseme kwa ujumla kinachofanya kukopa Tanzania kuwe kugumu ni uhakika wa wakopaji kurudisha walichokopa.
Umeongea vizuri sana lakini uhalisia hauko hivyo hata ndugu yanguYaani ilivyo tu ndugu Watanzania wengi si walipaji wa madeni yawayo yoyote. Ndio maana vikundi vingi vya kukopeshana vinakufa. Ukitaka kujua watanzania 90% sio walipaji wazuri wa madeni,uwe na duka labda la vifaa vya magari hivi, hata yule usiemdhania kwamba anaweza akawa msumbufu atakusumbua mbayaa. Hata kama ana kazi au biashara nzuri tu inayomuingizia hela,lakini wakishakopa akimaliza ile shida yake siku hiyo hataki kabisa kulipa,mtakusukumana sana. Watanzania wengi akimaliza shida yake tu,kulipa anaona tabu kabisa. Na ukitaka kulijua zaidi fuatilia wale wanaokopesha mitaani kwa riba wale unapoenda kukopa aither uache gari au wanashika nyumba,viwanja n.k kulingana na thamani ya pesa unayokopa na inakuwa kwa makubariano ya muda fulani. Wakopaji wengi wanafirisiwa na wakopeshaji. Na sababu kubwa ya kufirisiwa ni ksbb moja Watanzania sio walipaj. Mbili ujanja janja mwingi. Tatu Watanzania wengi wanapoenda kukopa anakuwa hana udhoefu au adea nzuri au hajui kabisa kitu anachoenda kuzalishia hiyo hela anayoenda kukopa. Let say amesikia tu kilimo cha matikiti kwa mtu mmoja,amempa tu hesabu ya kwenye makaratasi kwamba yanalipa,kesho huyo mbio kwenda kukopa. Ndio maana bank unapoenda kukopa lazima wakufuatilie wajiridhishe je kweli unaweza kurejesha hiyo hela. Bank wenyewe huwa wanajisikia vibaya kufikia hatua ya kuuza zamana ya mteja mfano nyumba,ndio maana mpaka kufikia hatua ya kuuza nyumba yako lazima waende na wewe taratibu,wakiona unaendelea kulipa hata kwa kidogo kidogo tofauti na makubariano bado wanaendelea kukuvumilia. Mwisho nikuambie tu Watanzania asilimia kubwa sio walipaji
Crdb nahisi Wana shida ya mtaji ingawa naona hawaweki wazi.Wapumbavu hao crdb
Nmb within 24 hrs unapewa chako.
Hii ya kutokulipa kwa Watanzania ni kama hulka. Achilia mbali mikopo, mtanzania hata akiazima chaja tu ya simu HAIRUDISHI KAMWE mpaka wewe uliemuazima uanze kuifuatilia na saa nyingine uzungushwe wee..!Yaani ilivyo tu ndugu Watanzania wengi si walipaji wa madeni yawayo yoyote. Ndio maana vikundi vingi vya kukopeshana vinakufa. Ukitaka kujua watanzania 90% sio walipaji wazuri wa madeni,uwe na duka labda la vifaa vya magari hivi, hata yule usiemdhania kwamba anaweza akawa msumbufu atakusumbua mbayaa. Hata kama ana kazi au biashara nzuri tu inayomuingizia hela,lakini wakishakopa akimaliza ile shida yake siku hiyo hataki kabisa kulipa,mtakusukumana sana. Watanzania wengi akimaliza shida yake tu,kulipa anaona tabu kabisa. Na ukitaka kulijua zaidi fuatilia wale wanaokopesha mitaani kwa riba wale unapoenda kukopa aither uache gari au wanashika nyumba,viwanja n.k kulingana na thamani ya pesa unayokopa na inakuwa kwa makubariano ya muda fulani. Wakopaji wengi wanafirisiwa na wakopeshaji. Na sababu kubwa ya kufirisiwa ni ksbb moja Watanzania sio walipaj. Mbili ujanja janja mwingi. Tatu Watanzania wengi wanapoenda kukopa anakuwa hana udhoefu au adea nzuri au hajui kabisa kitu anachoenda kuzalishia hiyo hela anayoenda kukopa. Let say amesikia tu kilimo cha matikiti kwa mtu mmoja,amempa tu hesabu ya kwenye makaratasi kwamba yanalipa,kesho huyo mbio kwenda kukopa. Ndio maana bank unapoenda kukopa lazima wakufuatilie wajiridhishe je kweli unaweza kurejesha hiyo hela. Bank wenyewe huwa wanajisikia vibaya kufikia hatua ya kuuza zamana ya mteja mfano nyumba,ndio maana mpaka kufikia hatua ya kuuza nyumba yako lazima waende na wewe taratibu,wakiona unaendelea kulipa hata kwa kidogo kidogo tofauti na makubariano bado wanaendelea kukuvumilia. Mwisho nikuambie tu Watanzania asilimia kubwa sio walipaji
Daaaah! Ni kweli nina jamaa yangu yupo mgodini huko Tarime inaelekea mwezi sasa mkopo hawampi wanamzungusha mpaka ameomba asitishe aende NMB sijui ndio tabia ya bank au ya watoa huduma wao.CRDBni bank ya ovyo sana kwa wafanyabiashara wadogo na wakati. Mikopo yao kwa kiasi kikubwa inawalenga wafanyakazi hasa wa serikalinj na mashirika makubwa.