CRDB Bank -Lumumba ni 'Maua' na Maua!

Naona matumbo tu na maziwa makubwa maua sijaona licha ya kuzoom picha nikaongezea na kukodoa jicho na lenzi juu but where Maua hamna
 
Ndio maana watu wa bima nao wakija kwenye kutangaza huduma zao huweka vimwana warembo kuvutia wateja
 
Mkuu naomba namba ya huyo cheupe atleast amenishawish
 
Huyo bonge white ananyodo huyoo,utafikiri benki mali yake
 
Hapo nimemwona mzuri ni mmoja tuu, wengine naona lipsticks na make up zimesaidia, wakiziondoa huwezi hata kumtamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…