Hii bank walikuwa serious na customer care nzuri lakini naona sijui wameingiwa na mdudu gani? Yaani week mbili nashughulikia nyongeza ya mkopo (topup), mara lete hiki, mara kile, vitu ambavyo wanavyo tayari kwa mkopo wa kwanza.
ACHENI USUMBUFU USIO NA MAANA
ACHENI USUMBUFU USIO NA MAANA