CRDB Bank na makato ya matumizi ya kadi za ATM

CRDB Bank na makato ya matumizi ya kadi za ATM

Nna acc 3 za hao Crdb.
Zote hata hazieleweki.
Toka mwaka jana wameniblock kulog inn wanantumia email kilaleo kwamba acc yako iko blocked tupigie tuifungue.
Ila hawasahau kukata hela yao kila mwezi 7000 nafkiri.
 
Account yangu ya Nmb ilikuwa haina kitu kwa muda wa miezi 4 nikaja kuweka elfu 50 ikakatwa yote, tangia siku hiyo sijaweka ela Tena, now Nampango wa kufungua account ya EXIM Bank au ni renew card yangu ya CRDB
😁😁😁😁nyumba yako inawaka moto unaruka dirishani unarukia kwa jirani inakoteketea moto tena
Karibu katika bank isemayo "bank that listen"😁😁

Tutakusikiliza km mtoa mada😁
 
Kweli hali ni mbaya. Ila hiyo ni kawaida mkuu kila benki lazima wakate gharama za uendeshaji
 
wasukuma na wapenda sana ndio maana ccm wanawaogopa sababu pesa zao zipo ndani sio benki
 
Kiongoz inatakiwa uwe mwelewa kidogo, inabid ufaham hiyo 18 unakatwa kwa sababu gan?

Sasa mimi nimeuliza kwanini nakwatwa 15 kila mwaka wakanijibu hivi"

Hiyo 15 ninayokatwa nawalioia den crdb wanalodaiwa na mfadhili aliyewatengenezea card

Sasa ndio najiuliza kama deni ni la crdb na crdb wenyewe wapo kwanini nilipe mimi?

Walinishirikisha kwamba wanaomba niwasaidie kulila mpaka waamue tu kwamba mm ndio niwalipie?
Labda wameshindwa kukuelimisha uzuri.

Huyo mfadhili wanomsema ni kampuni ya Visa ambao ndo huwezesha matumizi ya tembo card na kadi zingine zenye nembo yao.

Visa huwezesha manunuzi na matumizi yoyote ya kidijitali ikiwemo mitandaoni na malipo mbalimbali kwa benki na makampuni mbalimbali yenye kutoa kadi za kibenki duniani.

Hivyo Visa huwatoza CRDB tozo ya kiasi fulani na kisha CRDB hukutoza weye hiyo tozo ya kila mwaka ili kufidia ile tozo walokatwa na Visa.

Hiyo 2,000 ya kila mwezi ni "maintenance fee" ya akaunti yako.

Kwa nchi zetu hizi za Afrika gharama za kuendesha akaunti yako huwezi kuzikwepa na pia hizo tozo zao ndizo zinozifanya banki ziweze kusimama kiuchumi na kiuendeshaji.
 
Nimeandika kwa masikitiko makubwa sana, last two weeks nilienda kuangalia salio la acc yangu crdb bank, nikakuta sehemu flan ya pesa imepungua nikakaa kimya

Leo hii tena tar 14 nikasema niangalie tena salio nikakuta pia sehemu ya pesa imepungua, uzalendo ukanishinda ikabid niwapigie huduma kwa wateja

Walipopokea tu simu yangu wakaniuliza jina langu , acc no yangu & wapi nilifungulia acc

Niliwajibu kwa unyenyekevu mkubwa, baada ya kuwajibu wakanihoji kutaka kujua ninashida gan

Nikawaelezea changamoto zangu, ikabid waingie kwenye acc yangu ku check balance,

Jibu walilonipa hata sikuridhika nalo kwakwel , waliniambia bank wamenikata kumi na saba elf (17000)

Waka ainisha kuwa 15000 ni makato ya uendeshaji wa kadi ya bank ya kila mwaka , tafsiri yake ni kwamba ile atm card kila mwaka tunakuwa tunailipia 15000

2000 ni makato ya mwezi jumla ikawa 170000

Nilipohoji kutaka kujua tafsir ya uendeshaji wa kadi wa kila mwaka ni kitu gani, yule mtoa huduma akanijibu kwamba "

Zile card ( tembo card) wao crdb walifadhiliwa na mfadhili kwa makubaliano watakuwa wanamlipa taratibu taratibu kwahiyo sasa makato tunayokatwa sisi ndio pesa anazolipwa yule mfadhili sasa hamuoni kama hawa jamaa matapeli?

Nikaenda mbele zaid kwa kumhoji yule mtoa huduma, kwamba crdb walipoweka mkataba na uyo mfadhili wa card kwamba watawalipa taratibu taratibu walitushirikisha sisi wateja ambao ndio tumebeba jukumu la kulipa hizo pesa kwa wafadhili? Akakata na simu

Sasa ndugu zangu wenye acc pale crdb bank ambao mlikuwa hamjui kama nilivyo mimi,

Mkae mkijua sasa kuanzia nilipoweka bandiko hili, kila mwaka mtakuwa mnakatwa 15 elf kwa ajili ya kuwasaidia crdb kulipa deni waliloingia kwa huyo mfadhili aliyewatengenezea card

Kwahiyo mteja ni mkubwa kuliko taasisi na ndio maana amebeba jukumu la kuilipia den bank

Wakati kwenye mkataba wao sina hakika kama walisaini kwamba hilo deni atalilipa mteja

Hapo ndio nikaamin kweli crdb ni bank ya kitapel

Maana yake sasa, ukiwa na acc miaka 30 ndan ya crdb utakatwa 15000 mara miaka 30 sasa ebu assume tanzania nzima hao crdb wana wateja wangap? Sasa 15 elf mara wateja wa tanzania nzima watakuwa wanakata tsh ngapi na den kwa uyo mfadhili wao wa card litakuwa kias gan mpaka kila mwaka wakate 15 elf kwa kila mteja

Kesho tar 15 naenda kutoa pesa yangu yote

Majizi makubwa yale,

Nilimuuliza yule mtoa huduma kwamba mmeshawaelimisha wateja wenu kwamba kila mwaka mtakuwa mnawakata 15 elf kwa ajili ya uendeshaji wa kadi akanijibu hapana

Nikamuuliza hamuoni kama mtakuwa hamuwatendei haki akakaa kimya

KWahiyo narudia tena na tena, kwa wale wateja wenye acc pale crdb inatakiwa mfaham kila mwaka mtakuwa mnailipia card tsh 15 elf msije mkakatwa mkaanza kushangaa

Mi mwenzenu nimeshajitoa mapema sitaki pesa yangu ikatwe eti kwa akili ya kulipia den la taasis huo ni upuuzi
Bank zote za Tanzania wizi mtupu badala ya kulipa interest kwenye hela wateja wanazo weka bank wao wanatoza service charge. Na hapo hapo ukienda kukopa wanakulima 20% interest rate. Yote hayo ni kwasababu ya kuwa serikali isiyo wajibika kwa wananchi wake. Serikali Ina shirikiana na wafanya biashara kufukariaha wananchi wake.
 
Nimeandika kwa masikitiko makubwa sana, last two weeks nilienda kuangalia salio la acc yangu crdb bank, nikakuta sehemu flan ya pesa imepungua nikakaa kimya

Leo hii tena tar 14 nikasema niangalie tena salio nikakuta pia sehemu ya pesa imepungua, uzalendo ukanishinda ikabid niwapigie huduma kwa wateja

Walipopokea tu simu yangu wakaniuliza jina langu , acc no yangu & wapi nilifungulia acc

Niliwajibu kwa unyenyekevu mkubwa, baada ya kuwajibu wakanihoji kutaka kujua ninashida gan

Nikawaelezea changamoto zangu, ikabid waingie kwenye acc yangu ku check balance,

Jibu walilonipa hata sikuridhika nalo kwakwel , waliniambia bank wamenikata kumi na saba elf (17000)

Waka ainisha kuwa 15000 ni makato ya uendeshaji wa kadi ya bank ya kila mwaka , tafsiri yake ni kwamba ile atm card kila mwaka tunakuwa tunailipia 15000

2000 ni makato ya mwezi jumla ikawa 170000

Nilipohoji kutaka kujua tafsir ya uendeshaji wa kadi wa kila mwaka ni kitu gani, yule mtoa huduma akanijibu kwamba "

Zile card ( tembo card) wao crdb walifadhiliwa na mfadhili kwa makubaliano watakuwa wanamlipa taratibu taratibu kwahiyo sasa makato tunayokatwa sisi ndio pesa anazolipwa yule mfadhili sasa hamuoni kama hawa jamaa matapeli?

Nikaenda mbele zaid kwa kumhoji yule mtoa huduma, kwamba crdb walipoweka mkataba na uyo mfadhili wa card kwamba watawalipa taratibu taratibu walitushirikisha sisi wateja ambao ndio tumebeba jukumu la kulipa hizo pesa kwa wafadhili? Akakata na simu

Sasa ndugu zangu wenye acc pale crdb bank ambao mlikuwa hamjui kama nilivyo mimi,

Mkae mkijua sasa kuanzia nilipoweka bandiko hili, kila mwaka mtakuwa mnakatwa 15 elf kwa ajili ya kuwasaidia crdb kulipa deni waliloingia kwa huyo mfadhili aliyewatengenezea card

Kwahiyo mteja ni mkubwa kuliko taasisi na ndio maana amebeba jukumu la kuilipia den bank

Wakati kwenye mkataba wao sina hakika kama walisaini kwamba hilo deni atalilipa mteja

Hapo ndio nikaamin kweli crdb ni bank ya kitapel

Maana yake sasa, ukiwa na acc miaka 30 ndan ya crdb utakatwa 15000 mara miaka 30 sasa ebu assume tanzania nzima hao crdb wana wateja wangap? Sasa 15 elf mara wateja wa tanzania nzima watakuwa wanakata tsh ngapi na den kwa uyo mfadhili wao wa card litakuwa kias gan mpaka kila mwaka wakate 15 elf kwa kila mteja

Kesho tar 15 naenda kutoa pesa yangu yote

Majizi makubwa yale,

Nilimuuliza yule mtoa huduma kwamba mmeshawaelimisha wateja wenu kwamba kila mwaka mtakuwa mnawakata 15 elf kwa ajili ya uendeshaji wa kadi akanijibu hapana

Nikamuuliza hamuoni kama mtakuwa hamuwatendei haki akakaa kimya

KWahiyo narudia tena na tena, kwa wale wateja wenye acc pale crdb inatakiwa mfaham kila mwaka mtakuwa mnailipia card tsh 15 elf msije mkakatwa mkaanza kushangaa

Mi mwenzenu nimeshajitoa mapema sitaki pesa yangu ikatwe eti kwa akili ya kulipia den la taasis huo ni upuuzi
Uko sahihi kabisa. Mimi account ya CRDB nilishaitelekeza karibu miaka mitano sasa. Na sitaki kujua kinachoendelea huko,maana nilikomba hela yote nikabakiza kidogo sana. NMB na TCB ndio habari ya Mjini.
 
Chaji za bank zinafahamika kulingana na aina ya acc

Sasa ile sio chaji ya bank lile ni den ambalo crdb wanadaiwa hivyo wao wamejivua wanawaangushia wateja

Crdb ni ile ya charles kimei tu. Huyu mkurugenz wa sasa no utapel mtupu

Sasa bank inakosa hata pesa ya kutengenezea card mpaka wanaamua kuunga unga

Kila siku pesa zetu zinapotea
True 100/=
 
Wakuu naomba kuuliza, nna miaka miwili tangu niwe na card ya CRDB lkn sijawahi kukatwa pesa yoyote zaidi ya zile za kutoa pesa, hii imekaaje au card yangu imeungwa na zile kaya masikini hvy wananionea huruma.?
 
Wakuu naomba kuuliza, nna miaka miwili tangu niwe na card ya CRDB lkn sijawahi kukatwa pesa yoyote zaidi ya zile za kutoa pesa, hii imekaaje au card yangu imeungwa na zile kaya masikini hvy wananionea huruma.?
Huwenda mambo hufuatilii ila kunamakato ya kila mwenzi ya 1,800
 
Hizo ni charges za kawaida za benki na ulikubaliana nazo kwenye kile kipengele cha ‘Terms & Conditions’ ambacho wengi wetu hatunaga muda wa kuzisoma huwa tunaclick accept. Nadhani ifike mahali tuone aibu jamani, ulitegemea huduma za kibenki uzipate bure kabisa kweli 🤦🏽‍♀️
 
Mchangiaji ana hoja ya msingi.Tatizo letu sisi ni wabinafsi.Tukilibeba hili kwa ujumla wetu kwamba hiyo pesa kwa wingi wetu tunapokatwa inamnufaisha kwa kiwango kikubwa mno huyo mwenye benki kuliko uhalisia lazima watapunguza tozo.Tatizo la nchi hii kila mtu anajiangalia yeye binafsi,hatuwaangalii wenzetu wenye kipato cha chini.Fikiria mtu anakatwa hivyo na bado anakutana na utitiri wa kodi na ni mfanya biashara.Mazingira ya biashara yake ni magumu mno hadi aje kupata faida.Hiyo ni chanzo cha uchumi kudumaa ktk mfumuko huu wa bei na gharama za maisha kupanda.Natamani kuona report ya account za benki zinazofungwa au kufunguliwa kila mwaka hapa Tanzania ili kuishibisha hoja ya mleta uzi
 
Account yangu ya Nmb ilikuwa haina kitu kwa muda wa miezi 4 nikaja kuweka elfu 50 ikakatwa yote, tangia siku hiyo sijaweka ela Tena, now Nampango wa kufungua account ya EXIM Bank au ni renew card yangu ya CRDB
Mimi nilitumiwa laki 2 kwenye NMB account halafu nikaacha kuitoa kama wiki 2 hivi. Kuja kuangalia nakuta laki na ishirini imekatwa. Yaani niliambulia Tshs. 80,000/= tu. Niliwalaani sana NMB na nikaona ni wezi kabisa. Majizi makubwa
 
Back
Top Bottom