babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
😁😁😁😁nyumba yako inawaka moto unaruka dirishani unarukia kwa jirani inakoteketea moto tenaAccount yangu ya Nmb ilikuwa haina kitu kwa muda wa miezi 4 nikaja kuweka elfu 50 ikakatwa yote, tangia siku hiyo sijaweka ela Tena, now Nampango wa kufungua account ya EXIM Bank au ni renew card yangu ya CRDB
Labda wameshindwa kukuelimisha uzuri.Kiongoz inatakiwa uwe mwelewa kidogo, inabid ufaham hiyo 18 unakatwa kwa sababu gan?
Sasa mimi nimeuliza kwanini nakwatwa 15 kila mwaka wakanijibu hivi"
Hiyo 15 ninayokatwa nawalioia den crdb wanalodaiwa na mfadhili aliyewatengenezea card
Sasa ndio najiuliza kama deni ni la crdb na crdb wenyewe wapo kwanini nilipe mimi?
Walinishirikisha kwamba wanaomba niwasaidie kulila mpaka waamue tu kwamba mm ndio niwalipie?
Bank zote za Tanzania wizi mtupu badala ya kulipa interest kwenye hela wateja wanazo weka bank wao wanatoza service charge. Na hapo hapo ukienda kukopa wanakulima 20% interest rate. Yote hayo ni kwasababu ya kuwa serikali isiyo wajibika kwa wananchi wake. Serikali Ina shirikiana na wafanya biashara kufukariaha wananchi wake.Nimeandika kwa masikitiko makubwa sana, last two weeks nilienda kuangalia salio la acc yangu crdb bank, nikakuta sehemu flan ya pesa imepungua nikakaa kimya
Leo hii tena tar 14 nikasema niangalie tena salio nikakuta pia sehemu ya pesa imepungua, uzalendo ukanishinda ikabid niwapigie huduma kwa wateja
Walipopokea tu simu yangu wakaniuliza jina langu , acc no yangu & wapi nilifungulia acc
Niliwajibu kwa unyenyekevu mkubwa, baada ya kuwajibu wakanihoji kutaka kujua ninashida gan
Nikawaelezea changamoto zangu, ikabid waingie kwenye acc yangu ku check balance,
Jibu walilonipa hata sikuridhika nalo kwakwel , waliniambia bank wamenikata kumi na saba elf (17000)
Waka ainisha kuwa 15000 ni makato ya uendeshaji wa kadi ya bank ya kila mwaka , tafsiri yake ni kwamba ile atm card kila mwaka tunakuwa tunailipia 15000
2000 ni makato ya mwezi jumla ikawa 170000
Nilipohoji kutaka kujua tafsir ya uendeshaji wa kadi wa kila mwaka ni kitu gani, yule mtoa huduma akanijibu kwamba "
Zile card ( tembo card) wao crdb walifadhiliwa na mfadhili kwa makubaliano watakuwa wanamlipa taratibu taratibu kwahiyo sasa makato tunayokatwa sisi ndio pesa anazolipwa yule mfadhili sasa hamuoni kama hawa jamaa matapeli?
Nikaenda mbele zaid kwa kumhoji yule mtoa huduma, kwamba crdb walipoweka mkataba na uyo mfadhili wa card kwamba watawalipa taratibu taratibu walitushirikisha sisi wateja ambao ndio tumebeba jukumu la kulipa hizo pesa kwa wafadhili? Akakata na simu
Sasa ndugu zangu wenye acc pale crdb bank ambao mlikuwa hamjui kama nilivyo mimi,
Mkae mkijua sasa kuanzia nilipoweka bandiko hili, kila mwaka mtakuwa mnakatwa 15 elf kwa ajili ya kuwasaidia crdb kulipa deni waliloingia kwa huyo mfadhili aliyewatengenezea card
Kwahiyo mteja ni mkubwa kuliko taasisi na ndio maana amebeba jukumu la kuilipia den bank
Wakati kwenye mkataba wao sina hakika kama walisaini kwamba hilo deni atalilipa mteja
Hapo ndio nikaamin kweli crdb ni bank ya kitapel
Maana yake sasa, ukiwa na acc miaka 30 ndan ya crdb utakatwa 15000 mara miaka 30 sasa ebu assume tanzania nzima hao crdb wana wateja wangap? Sasa 15 elf mara wateja wa tanzania nzima watakuwa wanakata tsh ngapi na den kwa uyo mfadhili wao wa card litakuwa kias gan mpaka kila mwaka wakate 15 elf kwa kila mteja
Kesho tar 15 naenda kutoa pesa yangu yote
Majizi makubwa yale,
Nilimuuliza yule mtoa huduma kwamba mmeshawaelimisha wateja wenu kwamba kila mwaka mtakuwa mnawakata 15 elf kwa ajili ya uendeshaji wa kadi akanijibu hapana
Nikamuuliza hamuoni kama mtakuwa hamuwatendei haki akakaa kimya
KWahiyo narudia tena na tena, kwa wale wateja wenye acc pale crdb inatakiwa mfaham kila mwaka mtakuwa mnailipia card tsh 15 elf msije mkakatwa mkaanza kushangaa
Mi mwenzenu nimeshajitoa mapema sitaki pesa yangu ikatwe eti kwa akili ya kulipia den la taasis huo ni upuuzi
Uko sahihi kabisa. Mimi account ya CRDB nilishaitelekeza karibu miaka mitano sasa. Na sitaki kujua kinachoendelea huko,maana nilikomba hela yote nikabakiza kidogo sana. NMB na TCB ndio habari ya Mjini.Nimeandika kwa masikitiko makubwa sana, last two weeks nilienda kuangalia salio la acc yangu crdb bank, nikakuta sehemu flan ya pesa imepungua nikakaa kimya
Leo hii tena tar 14 nikasema niangalie tena salio nikakuta pia sehemu ya pesa imepungua, uzalendo ukanishinda ikabid niwapigie huduma kwa wateja
Walipopokea tu simu yangu wakaniuliza jina langu , acc no yangu & wapi nilifungulia acc
Niliwajibu kwa unyenyekevu mkubwa, baada ya kuwajibu wakanihoji kutaka kujua ninashida gan
Nikawaelezea changamoto zangu, ikabid waingie kwenye acc yangu ku check balance,
Jibu walilonipa hata sikuridhika nalo kwakwel , waliniambia bank wamenikata kumi na saba elf (17000)
Waka ainisha kuwa 15000 ni makato ya uendeshaji wa kadi ya bank ya kila mwaka , tafsiri yake ni kwamba ile atm card kila mwaka tunakuwa tunailipia 15000
2000 ni makato ya mwezi jumla ikawa 170000
Nilipohoji kutaka kujua tafsir ya uendeshaji wa kadi wa kila mwaka ni kitu gani, yule mtoa huduma akanijibu kwamba "
Zile card ( tembo card) wao crdb walifadhiliwa na mfadhili kwa makubaliano watakuwa wanamlipa taratibu taratibu kwahiyo sasa makato tunayokatwa sisi ndio pesa anazolipwa yule mfadhili sasa hamuoni kama hawa jamaa matapeli?
Nikaenda mbele zaid kwa kumhoji yule mtoa huduma, kwamba crdb walipoweka mkataba na uyo mfadhili wa card kwamba watawalipa taratibu taratibu walitushirikisha sisi wateja ambao ndio tumebeba jukumu la kulipa hizo pesa kwa wafadhili? Akakata na simu
Sasa ndugu zangu wenye acc pale crdb bank ambao mlikuwa hamjui kama nilivyo mimi,
Mkae mkijua sasa kuanzia nilipoweka bandiko hili, kila mwaka mtakuwa mnakatwa 15 elf kwa ajili ya kuwasaidia crdb kulipa deni waliloingia kwa huyo mfadhili aliyewatengenezea card
Kwahiyo mteja ni mkubwa kuliko taasisi na ndio maana amebeba jukumu la kuilipia den bank
Wakati kwenye mkataba wao sina hakika kama walisaini kwamba hilo deni atalilipa mteja
Hapo ndio nikaamin kweli crdb ni bank ya kitapel
Maana yake sasa, ukiwa na acc miaka 30 ndan ya crdb utakatwa 15000 mara miaka 30 sasa ebu assume tanzania nzima hao crdb wana wateja wangap? Sasa 15 elf mara wateja wa tanzania nzima watakuwa wanakata tsh ngapi na den kwa uyo mfadhili wao wa card litakuwa kias gan mpaka kila mwaka wakate 15 elf kwa kila mteja
Kesho tar 15 naenda kutoa pesa yangu yote
Majizi makubwa yale,
Nilimuuliza yule mtoa huduma kwamba mmeshawaelimisha wateja wenu kwamba kila mwaka mtakuwa mnawakata 15 elf kwa ajili ya uendeshaji wa kadi akanijibu hapana
Nikamuuliza hamuoni kama mtakuwa hamuwatendei haki akakaa kimya
KWahiyo narudia tena na tena, kwa wale wateja wenye acc pale crdb inatakiwa mfaham kila mwaka mtakuwa mnailipia card tsh 15 elf msije mkakatwa mkaanza kushangaa
Mi mwenzenu nimeshajitoa mapema sitaki pesa yangu ikatwe eti kwa akili ya kulipia den la taasis huo ni upuuzi
True 100/=Chaji za bank zinafahamika kulingana na aina ya acc
Sasa ile sio chaji ya bank lile ni den ambalo crdb wanadaiwa hivyo wao wamejivua wanawaangushia wateja
Crdb ni ile ya charles kimei tu. Huyu mkurugenz wa sasa no utapel mtupu
Sasa bank inakosa hata pesa ya kutengenezea card mpaka wanaamua kuunga unga
Kila siku pesa zetu zinapotea
Equity in Bank hawana makato ya kila mwezi wala makato hayo ukiacha hela yako ata miaka kumi utaikuta hivyo hivyo ila Bank nyingine utakuta una Deni la kufa mtu.Benki zote ziko hivyo, huna pa kukimbilia.
Huwenda mambo hufuatilii ila kunamakato ya kila mwenzi ya 1,800Wakuu naomba kuuliza, nna miaka miwili tangu niwe na card ya CRDB lkn sijawahi kukatwa pesa yoyote zaidi ya zile za kutoa pesa, hii imekaaje au card yangu imeungwa na zile kaya masikini hvy wananionea huruma.?
Mimi nilitumiwa laki 2 kwenye NMB account halafu nikaacha kuitoa kama wiki 2 hivi. Kuja kuangalia nakuta laki na ishirini imekatwa. Yaani niliambulia Tshs. 80,000/= tu. Niliwalaani sana NMB na nikaona ni wezi kabisa. Majizi makubwaAccount yangu ya Nmb ilikuwa haina kitu kwa muda wa miezi 4 nikaja kuweka elfu 50 ikakatwa yote, tangia siku hiyo sijaweka ela Tena, now Nampango wa kufungua account ya EXIM Bank au ni renew card yangu ya CRDB