Ngussa makandi
Member
- Mar 7, 2017
- 11
- 13
Tatizo sio CRDB.. Tatizo umejiunga kwa kutumia line ya Voda.. Tumia tigo au Airtel.. Na sio CRDB tuu, Bali hata NMB kama umejiunga kwa kutumia line ya Voda..Kila ninapohamisha fedha toka bank kwa njia ya simu ni lazima niwe na salio la kawaida kwenye simu, tatizo ni pale ninaporuhusu kukatwa salio la kawaida ili muamala ukamilike salio linakatwa halafu muamala haukamiliki kwa nini msiwe mnakata salio baada ya muamala kukamilika hamuoni kama huo ni wizi ba unyanyasaji kwa mteja wenu.
Umenena vyema mkuu voda ni michosho ilaukijiunga kupitia tigi,halotel na airtel iko vizuri hawakati pesaTatizo sio CRDB.. Tatizo umejiunga kwa kutumia line ya Voda.. Tumia tigo au Airtel.. Na sio CRDB tuu, Bali hata NMB kama umejiunga kwa kutumia line ya Voda..
Nenda branch ya karibu na wewe na CRDB, waambie unahitaji kubadi namba inayotumika kwenye simBanking, watakusaidia mkuu..
Pole sana..
Kwa hyo hata nisipokuwa na salio kwenye lain ya tigo au airtel naweza kuacess menu ya simbanking?Umenena vyema mkuu voda ni michosho ilaukijiunga kupitia tigi,halotel na airtel iko vizuri hawakati pesa
Kwa hyo hata nisipokuwa na salio kwenye lain ya tigo au airtel naweza kuacess menu ya simbanking?
Voda ni tofauti na mitandao mingine wao hawafanyi kama mitandao mingine ambayo hukata pesa mara moja tu kwa mwaka ili uweze ku access USSD code za bank zote bure.Tatizo sio CRDB.. Tatizo umejiunga kwa kutumia line ya Voda.. Tumia tigo au Airtel.. Na sio CRDB tuu, Bali hata NMB kama umejiunga kwa kutumia line ya Voda..
Nenda branch ya karibu na wewe na CRDB, waambie unahitaji kubadi namba inayotumika kwenye simBanking, watakusaidia mkuu..
Pole sana..
asee ngoja na mie nikabadilMimi natumia Tigo hawakati salio.Mwanzoni nilikuwa natumia voda ikabidi nibadili.
Ndio mkuuKwa hyo hata nisipokuwa na salio kwenye lain ya tigo au airtel naweza kuacess menu ya simbanking?
Umenena vyema, hayo malalamiko yake apeleke Voda.Tatizo sio CRDB.. Tatizo umejiunga kwa kutumia line ya Voda.. Tumia tigo au Airtel.. Na sio CRDB tuu, Bali hata NMB kama umejiunga kwa kutumia line ya Voda..
Nenda branch ya karibu na wewe na CRDB, waambie unahitaji kubadi namba inayotumika kwenye simBanking, watakusaidia mkuu..
Pole sana..
Sory naomba kuuliza ivi CRDB wana Bonus account?? ile ambayo haikatwi bank charges za mwisho wa mweziTatizo sio CRDB.. Tatizo umejiunga kwa kutumia line ya Voda.. Tumia tigo au Airtel.. Na sio CRDB tuu, Bali hata NMB kama umejiunga kwa kutumia line ya Voda..
Nenda branch ya karibu na wewe na CRDB, waambie unahitaji kubadi namba inayotumika kwenye simBanking, watakusaidia mkuu..
Pole sana..